Katika kile kinachoonekana kujidhatiti, Huawei imeanza kutumia mfumo endeshi wake kwenye baadhi ya simu zake kama sehemu ya majaribio.
#Huawei has reportedly shipped out a batch of smartphones...
Wakuu najua kuwa humu kuna watu ambao wanaujuzi wa ku create app kwenye android studio. Ila mimi ni bigginer ila napenda sana kutengeneza app
Teali nimesha download Android Studio na kuinstall...
Wapendwa,natumaini mu wazima.Nilikuwa naomba MSAADA wenu wa kuelewesha jinsi ya kutumia *MacBook* hasa kwenye upande was kudownload WHATSAP kupitia appstore ya MACBOOK ,nikijaribu kudownload...
Habari wakuu natumaini hamjambo!
Nakuja hapa jukwaani ili tujifunze mtandao wa airtime ujulikanao kama GeoPoll unaotoa muda wa maongezi pindi utakapojiunga kwa kupitia application yao.
Nina channel yangu lakini bado haijakamilika ipasavyo...
Katika upande wa subscribers tayar nimefanikisha ila bado watching hours.
Kwa mtu anaweza kufanya recomend ya channel au kupromote...
Kufuatia vita ya kiuchumi inayoendelea katika ya Marekani na China ambayo imepelekea kampuni ya Huawei kupata ban ya kutumia Google Apps & Facebook Apps..Founder wa Huawei amedisclose kwamba kama...
WANA JAMVI HESHIMA KWENU,NAOMBENI MSAADA WA LINK YA PC PROGRAM AIDHA PINNACLE STUDIO AU ADOBE PREMIER PRO AMBAZO ZIPI ACTIVATED TAYARI AU ZIPO CRACKED,NIMEJARIBU KUTAFUTA KWENYE SITE MBALIMBLI...
Wadau, laptop yangu inegoma kuBoot halaf inasema HARD DRIVE IS NOT INSTALLED. Nimeweka flash kama external drive inasoma lakini haina Windows. Na sina wataalam karibu au pahala pa kupata windows...
Habari zenu wadau naombeni msaada anaweza kuweka window kwenye computer ya Macbook Pro anisaidie nitatoa offer. Anitafute kwa namba hii 0788488928, msaada tafadhali napatikana pande za Dar
Wanafunzi wanne kutoka Mexico wametengeneza koti ambalo wanadai linaweza kuzuia mtu kuvamiwa.
Mikono ya koti hilo linaweza kutoa mshtuko wa umeme utakaomfanya mtu yeyote aliyeligusa kushindwa...
Nime edit PDF online kwa kutumia "PDF filler" account sasa Inakataa kusave edited file kwenye PC, Inanambia niweke payment method like mastercard number or paypal account Info wakati yenyewe ni...
Habari wakuu!
Ni laptop aina ya hp elitebook 8440p, ilikuwa haina betri umeme ukazima baada ya kuwasha ikawa inaishia kwenye mistari kama picha inavyoonekana.... Ukizima na kuwasha tena inaandika...
Wadau heshima Yenu,Nimeamua kutengeneza System/Database itakayoweza kuhifazi taarifa/kumbukumbu mbalimbali za waumini kwa madhehebu yote ,yaani mfumo unaweza kufanya kazi kwa dhehebu lolote.Mfumo...
Nahisi nimepoteza kazi yangu kizembe sana!
Kuna document nilikuwa naiandaa online kupitia www.offidocs.com kisha kwenye kusave nikachagua upoad to google drive.
Ilivyomaliza ikaniandikia...
Msaa ninakwama hapa nina kadi yangu ya visa ya crdb hua naitumia kufanya miamla mbali mbali online sasa changamoto imekuja nataka nilipie lav software flan bei yake ni usd 75 kila nikijarbu...
wakuu habari zenu.
nna compyuta nmeirestore jana lakn tangia nilipoirestore nkiiwasha na kugungua program inaload sana inaweza kuchukua hata lisaa.programm nyingne zmegoma kugunguka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.