PC yangu ina tatizo la baadhi ya software kama Dev c, Microsoft Point, Excel,Word nikifungua nikaanza kutumia kimfano kwenye Microsoft PowerPoint nikihitaji ku Insert picture inafail inatoka...
Habari wanajukwaa!
Kama heading inavyojieleza, msaada wenu Jinsi Kufungua Tecno Spark 2 maana Mdau Kasahau Password.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati Kwenu!
Naomba msaada kwa mwenye ujuzi la hili.
Natumia Whatsup aina ya GB namaanisha GBWhatsup .
Karibu wiki ya pili nimekuwa barned kutumia nabata notification kwamba hii sio official watsup bali ni...
Habari Wakuu.
Nina Powerbook g4 ambayo imekufa HDD nimejitahidi kureplace HDD mpya ukiwasha kinakuja kibahasha chenye question Mark ila nashindwa Kuinstall mac OS X maana sina installation CD...
10 Reasons For The Importance of a Website
Reason #1 – Online brochure
Companies spend millions creating brochures and distributing them. By having a website you can skip that entirely. Your...
Hello guys habari zenu..... naombeni msaada kwa wenye utalaam wa namna ya kuweka nyimbo ktk i phone ili niweze ku-enjoy pia kwa kusikiliza music bila kustream kw internet....
Wote mnakaribishwa kweye group whatsap kwa ku share idea..
Karibuni katika group linaitwa
Mafundi amplifier|pamoja bofya hio link hapooo[emoji117][emoji117]...
Habari wa teknolojia,
Naomba mnisaidie mawazo na ushauri ni namna gani naweza jifunza designing ya graphics. Kwa sasa ni mwajiriwa kwenye idara ya communication hivyo nimegundua nahitaji sana...
Habari wadau mimi ninatumia sumsung j7prime nime download nyimbo kama 20 na aplication wasap, istagram, c.scaner, vidmate imejaaa hamna nafasi tena. Nikitaka kudownload kitu inaniletea option ya...
Halow wana jf,,
Nilikuwa naomba msaada wenu napenda sana kusoma vitabu hasa motivation books lakini nashindwa jinsi ya kuvidownload kwenye laptop... Naomba msaada wa website zinazotumika...
Habar wakuu
Naomba mnifahamishe cha kufanya Nina Tab E Model no SM T-561 Android version 4.4.4 kuna baadhi ya app nikiweka inaniambia not optimized to your device au not compatible...naomba...
Samahan wakuu nataka Ku update Nokia Lumia 520 lakini nikisearch update naipata ILA inanitaka nidownload kupitia WI-Fe, Nikiconnect na wi-fe wala hai download updates . nikitaka nidownload...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.