Wakuu salaamu.
Nimekuja kwenu kujua naamini humu kuna maduka ya simu na waliowahi kununua. Kuna ndugu zangu huko mkoani wanataka wamiliki shida wametuma vilaki. Nipo busy kidogo naomba kujua ni...
Habari zenu humu kwenye jukwaa.kama kuna mtu ana utaalam na mambo ya electronics projects kwa level ya degree ani pm...nina shida ya kuunganisha arduino camera na wifi module ipeleke kwenye web...
Naomba Msaada Kublock Post za Magroup ya Watsapp bile kuLeft
Nina Magroup mengi maudhui yakufanana ila member tofauti
Ni Muhimu kwa kipindi cha chaguzi ila sio kwa sasa yananilia MB tu
Wakuu heshima iwe kwenu
niko hapa kuomba msaada kwa anayefahamu app kwenye simu za android inayotumika kutengeneza matangazo yaani kuchanganya sauti kama vile matangazo kama ilivyo virtual dj
Habari za mchana wapendwa hongereni na swaumu kwa waislamu wenzangu
Nina iPhone yangu ilizima gafla tu nikapeleka kwa fundi akaniambia ni betri nikanunua betri lakini haikuwaka mpka akaiboost...
Habari wanateknolojia. Nimenunua modem mpya (3.5G HSUPA, 7.2Mbps), SIMCARD inadetect, tatizo lake mnara hausomi (inaandika x sehemu ya bars za mnara). Nini suluhisho la tatizo hili? Natanguliza...
Simu yangu inaniambia unfortunately google update has stopped.shida nini wataalamu nifanyeje ili nitatue tatizo au ndio vikwazo vya marekani kwa kampuni ya HUAWEI.
Habari wana JF?
Hili ni wazo nimekua nalo kwa muda kidogo, ila nilihitaji kujua ni vitu/mambo gani ninahitaji kuwa nayo ili nianzishe biashara ya website na software development?
Nilihitaji...
Jamani nisaidieni tatizo la simu yangu nilikua mtandaoni katika kuperuzi ikaganda tu ghalfa nikatoa betrii kuiweka ikawa inawaka tu tecno basi yaani hata niiache siku nzima itakua hivohivo tu...
Jamani tuache ushabiki na kutofuatilia haya Makala kutoka kwenye magezeti
Kuhusu microchip ni kuwa inaitwa RFID (Radio frequency Identification) amabyo inawekwa kwenye mwili wako kwa ajili ya...
Kwa kupitia menu yao ya halopesa,yaani *150*88#,kisha namba 3 yenye vocha na vifurushi,kisha namba 2 yenye mega bando, halotel wanakupa mb 500 na dkt 50 kwa siku kwa sh500,1gb na dk 100 kwa wiki...
Unaweza ukawa na watu kibao au magroup mengi katika whatsapp ambayo yanaweza kuleta usumbufu kutokana na picha au video zinazo tumwa.
Kama hauhitaji usumbufu huo na husingependa picha au video...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.