Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Jamani simu yangu inanletea notification za hivyo,,,,,,,is it possible kwamba kuna mtu ananispy au kunidukua?? Na nifanyeje kuepukana na hilo???
2 Reactions
22 Replies
5K Views
Hi gt kuna rafiki yangu kafungua account jf lkn akilogin hawezi kupost wala kucomment tatizo nini
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Ndugu wana jf natumai muwazima wa afya tell Niliitaji kujuza kwa wenye ufahamu na uelewa wa app nzuri ya kusoma vitabu yani ambayo itakuwa nasoma kitabu yenyewe mi kazi yangu inakuwa kuskiliza tu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu habari yenu?. Mi ni mdau mkubwa wa kupoteza simu yaani nimekuwa na tatizo hili mara kwa mara na ndani ya wiki mbili nimepoteza simu 3. Kiukweli hali hii inaniuma sana na inaathiri uchumi...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wataalam, baombeni Masada namna ya kufanya installation ya App ya Google Play Store katika Tablet, Aina ni Samsung
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama ume sahau pattern yako ya simu na umejaribu kuweka mara nyingi ika jifunga cm hutakiwi kusumbuka tena kinacho takiwa zima simu arafu washa na wakati una washa shikilia kitufe cha kuongezea...
3 Reactions
22 Replies
7K Views
Wale wanaohitaji domain name kwa ajili ya Blog/website offer ndio hii Kwa TZs 15,000/= kwa mwaka unapata Domain name za .net au .com Free blogger set up (custom domain) ukihitaji hosting ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Adsnse imekuwa kizungumkuti kwa bloggers wengi sana.. Masharti kibao na pia dolari kuingia hadi uumize kichwa kweli kweli.. Ila yote hayo karibuni yanapotea kutokana na ujio wa Facebook Instant...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaman habar zenu wakuu...ndugu yenu hapa natumia asus toop lakin imeshapasuka display ...na nahtaji display mpya kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza kuipata hyo lcd display anisaidie kwakweli ...
0 Reactions
1 Replies
622 Views
Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu nashindwa kuelewa ni nn kimetokea kwenye simu yangu kwan siwezi tena kudownload Application yoyote badala yake naandikiwa download pending mda wote hadi naamua...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada namna ya kutoa simu inayoishia kwenye WI-Fi settings..... Baada ya simu yangu kuwa slow nkaamua niifanyie hard reset. Sasa kila kinjaribu kuanza upya inaishia kwenye Wi-fi setting aiendlei...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nilikuwa naomba msaada wa mtu anayejua App ya kubadilisha link ya YouTube Au Instagram to normal video. Nilimepata baadhi Ila ni Android. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
934 Views
Habar wana jf Naomben msaada laptop yangu imekua nzito sana,pindi nikiiwasha tu inakua nzito sana siwez kufanya kazi yeyote.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Za asubuhi guys, hope mmeamka salama. Leo nmekuja na wazo jipya la kujikwamua kiuchumi kwa kutaka kuunda timu ambayo tutatengeneza na kuunda blog yetu kama ti ,na kisha kupeana majukum kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Tunatoa huduma za kudesign Logo Product labels Posters and brochures Business card Calendar Billboard ID card Digital drawing Music covers...nk Huduma zetu ni nafuu sana Contacts: Call: 0768829357...
0 Reactions
4 Replies
715 Views
Habari gani nlikua naomba kuuliza wapi naweza badili bitcoin kuwa pesa za tsh seem ambyo iko secured ambyo haoina utapeli? Asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwenye simu yangu sielewi kabisa nimerestart simu bado app zingine ziko active
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wajuzi wa mambo hebu naombeni msaada kidogo hapa. Tablet yangu sumsung s2 hawaki wala haiingizi charge kuna mjuzi wa hii kitu humu? Msaada wenu furaja kwangu wakuuu
0 Reactions
0 Replies
338 Views
nokia e73 niliweka kwa betri ya pikipiki yaani kuunganisha terminal zake bila betry wala kipoza charge nilipo washa haikuwaka na nilipojalibu kuweka betri haikuwaka tena je ni nini kinaweza kuwa...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Back
Top Bottom