Moja ya vyuo vikuu bora dunian,Stanford kimeicha rasmi java kutumika kama introductory programming language na hii ni miez michache baada ya kotlin kutangazwa kkama mbadala rasmi wa java katika...
Simu yangu aina ya Tecno Boom j8 hot spot, Bluetooth na wi-Fi hazifanyi Kazi. Yaani zimegoma takribani wiki mbili sasa. Yaani ukiwasha kwa mfano hotspot inawaka na kuzima.
Naombeni msaada...
Naomba ushauri jinsi ninavyoweza kusajili gari yangu binafsi kwa ajili ya huduma ya taxi za mtandao wa UBA
Tafadhali maana hakuna namna nyingine!!
Pia kama kuna dereva mzioefu ningependa niingie...
Nataka kuipromote page yang ya instagram mwenye uzoefu anisaidie manake napoenda deep inaniomba niingize no za card ya benki sasa sina imani napo. MSAAADA PLZ
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nina mini laptop inatunza sana chaji awali ilikuwa inacharge fresh now ukichomeka inaonesha simu iko connected ila asilimia haisogei badala yake ina discharge, Wakuu msaada
habari zenu wakuu wa humu ndani
Nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenye free software ya kurecover picha ambazo zinaandika INVALID IMAGE maana picha zangu nyingi zimeandika invalid image sasa...
Habari wadau kwa yeyote anaefahamu music player yeyote ya android au windows ambayo inaweza kuplay nyimbo kabla haijafika mwishon nyimbo nyingine inaingia hapo hapo
Hi hili jukwaa!
kwa wale waliojitosa kununua ving'amuzi vya digitek na continental tuambie sie tunaotumia dish na king'amuzi cha startimes!
Vp kuhusu huduma yao, ipo bora ama bora king'amuzi...
Wakuu kama kichwa cha habar kinavyojieleza laptop yangu inawaka na kufanya operation zingine vizur isipokuwa inaleta chenga chenga kama TV za analogia zaman Kwa kifupi nimejaribu kufanya settings...
Wanajamvi, nilinunua simu hii ya GIONEE E7-Mini nikiwa India few years back. ni nzuri kwa muonekano na specifications zake pia si haba..
Bahati mbaga nikiwa najaribu kuiupdate ikastack and...
Matatizo ya GBwhatsapp 1.baadhi ya contacts azionekani 2.meseji kuchelewa.3.nzito muda mwingine inacrush 4.inakula mb..proved by me,mbadala wake ni....NOWhatsapp...
Habari,
Naomba msaada kujua tofauti ya ENgine kati ya 1G-Fe ukilinganisha na VVti kama zote ni CC 2000.
Please naomba msaada maana nahitaji kufanya maamuzi ya haraka.
Ahsanteni sana
Kama kichwa hapo juu kionekanavyo,nina laptop yangu aina ya Dell Latitude D630 nikiiwasha haimalizi kuwaka inaonyesha Giza tu,
Msaada wenu wakuu
sent by IPhone 6 using jamii forum app
Wakuu nataka kununua gari,,, nimeenda kwa be forward ili niagize hiyo gari,,, nikapewa profoma invoice ili nikalipie,, nikaambiwa Nina option mbili,, kulipia mojakwamoja be forward Japan,, au be...
Kama nilivyotangulia kusema,nina Hp hd500,Ram 4,procesor 2.6
Nimeinunua ikiwa used product nikafomart kwa kupiga window kila kitu ikawa mpya kbsaa nikaitumia kwa muda wa masaa 3 nikaizima...
Hivi zile location za kwenye instagram inatakiwa uweke sehemu ulipokua wakati unapiga picha au sehemu iliopo wakati unapost picha, mana naonaga picha mtu anaonekana yupo polini halafu pale juu eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.