Ndugu zangu naomba msaada kwa mwenye ujuzi wa kuroot aliyepo mbeya maana mimi sina uzóefú hívyo ñaógópà ómba mwéñye uzoefï àlíyepo mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello wajumbe, I hope weekend yenu ipo njema,
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nacheza hili game la fifa kwenye pc lakini niliishia kucheza ambazo zimechakachuliwa kwa hivyo sikuweza kucheza...
Tunahitaji mtu wa graphics a-design icons kwajili ya app yetu.
Mfano wa icons tunazotaka ni kama huo hapo kwenye picha.
Kila icon itakuwa inwakilisha kitu tofauti e.g. Contact, Schools, etc...
Naomba ushauri kwa wataalam na wazoefu wa laptop(pc), nahitaj kununua pc mpya ya dukani,Mini laptop yenye mlango yaani sehem ya kuweka cd, bajeti yangu ni laki3.Nje na chager capacity,hard disk...
Wanasayansi Nisaidieni Namna ya Kupiga simu kupitiaa Modem yaani ni instal app gani kwenye PC ili nieze kueza ata kuunga kifurushi au kuingiza Vocha na Kupiga simu kupitiaa Hapo!
Ahsanteni!
Wakuu naombeni msaada wa kuedit scanned document iliyo kwenye mfumo wa jpg. Nitumie nini niweze kuedit text. Nadhani nimeeleweka.
kama ni cheti au kitu ambacho kina maumbo mengine tofauti na...
Mada hapo juu inajieleza vzuri,, waheshimiwa naomba process za KUROOT simu yangu,, ntakuwa makin zaid ya zaid,, ahasante
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
Jamani nimetumia simu aina ya Samsung MegaPlus GT-I9152p, ikiwa haijafikisha hata mwaka mmoja tangu itoke kwenye box, kuna siku (wiki 3 zilizopita) ilijizima ghafla, then ikagoma kuwaka kabisa...
Ndugu wanajamvi naomba msaada wa jinsi ya kurudisha account ya facebook ambayo email yake niliitumia kufungua account nyingine,hvyo nikajikuta nimepoteza uwezo wa kulog in tena.... Nimejaribu kila...
HI NI KWA SIKU 91,BAADA YA HAPO UNARUDIA TENA HIZI CODES..
.>>KWA PC 4CH4C-PPFDT-NFK4B-45R69
>>>kwa android 95XKY-9HS4E-R315U-HVJZB
alafu lete mrejesho..
Wakuu nina shida moja yanisumbua nimeweka simu memory card nzima kbs
Tatizo linakuja nikihamisha videos, audios, na picha kwenye hiyo memory card hazifanyi kazi tena kama ni picha ndo hazifunguki...
Habari za asubuhi wapendwa mimi naomba msaada wa ile program ya kuweka kwenye simu moja kisha inatoa taarifa za hiyo simu kama SMS, watsup SMS, calls zikiingia na kupata taarifa hizo kwenye simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.