Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Smartphone ni simu ya mkononi inayotumia "mobile operating system" kama vile "ios","Blackberry 10 Os","Windows mobile 10 OS","Android,Sailfish","Tizen" kwa kutaja chache inayofanya kazi kama vile...
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Janani, anatafutwa fundi ambae ataweza kutengeneza local Network mkoani mtwara... room ziko tano ambazo inatakiwa computer zake zote ziwe shared kama uko vizuri ni pm
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Mimi niko Moshi, Ninatumia DSTV na Azam. Niliweka Azam as nilihisi labda wataweza wakawa wanaonyesha EPL, Italy, Germany na Spain. Lakini hawajaweza mpaka sasa! Natumia DSTV kwa sasa ila...
2 Reactions
275 Replies
27K Views
Kwa wale fans wa Windows phone, Tayari annivesary update kwa windows phone ishatolewa kwa baadhi ya simu zinazotumia windows. Binafsi natumia Lumia 640, Mwaka jana nilisema ngoja nitest ladha ya...
1 Reactions
97 Replies
8K Views
Naishi Mbezi Njia ya kwenda Makabe. Nimefunga Azam dish yapata miezi 10 sasa. Bahati mbaya siku ya tatu leo limepoteza chanel zote local isipokuwa Azam sport HD, Star Tv na Tv1. Chanel za nje...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habaru wanajamii naomba kuuliza kati ya window 10 na 8.1 pro ipi nzuri na effective na pia program gani nyingine ni nzuri ku i keep pc yako safe secured with high speed.........
0 Reactions
67 Replies
13K Views
Wadawa naomba kufahamishwa kati ya Simu hizi mbili Tecno n8 na Huawei y3ii IPI inafaa kwa matumizi ya kawaida na ukaifurahia
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Wezi wote walaaniwe. Nimeeibiwa LED TV leo wadau, kuna jinsi ya kuifunga? Natanguliza shukrani.
2 Reactions
45 Replies
5K Views
Kwa anae hitaji kazi ya admin / marketing snapandsale.com doors open. Email: amudibarongo@gmail.com whatsapp: +917842191789
0 Reactions
4 Replies
936 Views
Ni chuo gani kizuri Tz kwa kusomea app developing
0 Reactions
3 Replies
571 Views
habari za kazi waungwana twende moja kwa moja kwenye topic. siku za hivi karibuni biashara ya blog imekua ikikua kwa kasi sana hapa nchini kwetu.na vijana wengi wamekua wakitamani sana kuitumia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nakerwa na alama ya sms kwenye kisimbusi cha startime kwenye TV yangu msaada namna ya kutoa
0 Reactions
0 Replies
840 Views
Naombeni msaada jaman Nina desktop yangu nimebdlisha harddisk inagoma kuwaka msaada jaman...
0 Reactions
3 Replies
645 Views
WHAT WE’RE LOOKING FOR: Disruptive digital ideas to improve the way that news is collected and disseminated. By digital ideas, we mean tools or strategies that use the Internet, mobile platforms...
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Cant be opened using the built-in adminstration account wakuu huu ujumbe unajitokeza sana ktk baadhi ya apps kama kamera,store na zinginezo natumia win 10 sasa niliwahi restart machine na kucreate...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa muda mrefu kidogo nilikua napata kuona bure baadhi ya stesheni za startimes kupitia code no 530 570 578 ila wiki ya pili zimepotea na kila niki sachi hazipatikani tena ama wamestuka?
0 Reactions
1 Replies
897 Views
habari wanajamvi kama kuna mtu amejiunga na huduma hii ya kusoma masomo ya ufundi kwa njia ya mtandao naomba atusaidie kutujuza masomo haya yapo vp?
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Namna ya kujua sony xperia fake na original..na je kila sony inayotengenezwa china ni fake?..
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Wakuu ni jinsi gani ya kutambua mtu mnayewasiliana nae kwa email hususani toka nje ya nchi mfano uingereza anataka kukufanyia wizi au utapeli wa mtandao.Mwenye mfano toa!maana kuna jamaa yangu leo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wanajamvi naomba msaada wenu jinsi ya kudownload fasta fifa games
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom