Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Msaada, opera mini aifungui
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Naombeni msaada wenu namna ya kufungua email kwenye simu yangu, najua hapa kunawataalamu ndio maana nimeona nisikae na tatizo langu moyoni, ni hayo tu jamani.
1 Reactions
5 Replies
21K Views
wakuu naombeni msaada downloading dpeed ya pc yangu ipo chini sana hata kama kuna mtandao mzuri naombeni mnisaidie kama kuna download accelerator nzuri
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Habarini Wakuu, mimi nina wazo la Kufungua website yangu Hivi karibuni lakini nimeshindwa kuelewa Gharama Halisi ya Kufungua Na kuendesha Website, Pia N vitu Gani vya Kuzingatia Pia Ninapoenda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Kumekuwa na watu wengi ambao wamekuwa wakilalamika simu zao kuwa slow wakiwa wanatumia na hivyo kushindwa kufurahia simu zao.. leo nitajitahidi kuelezea njia za kuweza kuzitumia kuwezesha simu...
8 Reactions
21 Replies
6K Views
Naomba kufahamu mobile data limit ktk simu ukiweka tiki au kuiondoa tiki kunasaidia nini!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu. Mimi ni mfanyabiashara wa kati, nahitaji software ya computer ambayo itaniwezesha kuhifadhi bei za bidhaa zangu (bei niliyonunulia, bei ya kuuza, bei ya mwisho n.k) msaada kwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba msaada. Simu yangu tecno j8 inagoma kusaport whatssap na Facebook....kila nikijaribu kuingi whatssap inaniambia your not connected to internet ,try to connect if problem continue plz reboot...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nielekezeni nitumie Software gani kutengeneza Database ya duka la madawa mimi ni msimazi nataka nitoke kwenye Manual tuanze kwa computer Ku-store information I need a latest software or anything...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Msaada jamani wandugu. Tv imezngua naombeni msaada jinsi ya kuunga zuku kwenye laptop. Najua umu kitu kushindikana ni nadra sana
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hello wakuu..... Msaada jaman kwa anaejua link itakayo kupelekea kudownload software ambayo iko cracked. Regards, Bro kay
1 Reactions
5 Replies
944 Views
Mara Baada Ya Kuifanyia Hard Reset Imeshindikana Kumalizia Kufanya Initial Setup Kutokana Na Kushindwa Ku-bypass Wifi Connection. Option Ya Ku-Skip Hatua Hii Imeshindwa Kufanya Kazi. Msaada...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu wana JF, Hivi inawezekana ukampigia mtu simu kwa njia ya internet ikiwa yeye hatumii simu yenye uwezo wa internet ila ya kwako inayo? Simu yangu haina dakika ila ina MB nyingi tu!
0 Reactions
21 Replies
6K Views
wadau humu samahani.nisaidieni jambo hili, linakwamisha matumizi yangu ya internet. ni kwamba nataka kutumia internet kupitia wifi hotsport, ila inaulizia security na nikiiweka inaniambia ni...
0 Reactions
2 Replies
805 Views
natumia W3 tecno
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Twitter wamenitumia hiiii email kwa email yangu With hundreds of millions of engaged users, Twitter can help you connect with your customers and find new ones. Whatever your business goal, it’s...
0 Reactions
5 Replies
825 Views
Google Pixel Phone IMETOKA MUDA SASA NILIKUA NAOMBA MAELEZO KUHUSU HII SIMU VIPI MAANA SIJAONA WATU WAKIONGELA HUMU JAPO MARA MOJA TUNAWEZA KUWEPOO HUMU WOTE NAKUELEZEA KWA UZURI WAKUU
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefiwa na Jirani yangu sasa ndugu wameomba Chonde chonde nifanye lolote account yake iweze Kufungwa hivi inawezekana kweli au Mpaka Niende Ubalozi wa Marekani Dar au Nipige Simu Ubalozi wa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Walijaribu njia ya cmos battery imeshindikana, njia ya kushot ile eeprom nayo imeshindikana sasa kama kuna mtaalam mungine anisaidie
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Habari za leo wakuu, jana nimerudi nyumbani kutoka kwenye mizunguko yangu, nmekuta mtoto wangu mdogo kaigonga TV na kitu ambacho kimesababisha kupata mipasuko midogo midogo ambapo sasa haioneshi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom