Wadau naomba tujadili hii smartphone mpya ya TECNO PHANTOM 6+ , nasikia kua iko fast sana na ni very "handy",
je kuna mtu ameipata na kuitumia atupe details kidogo ikoje.
heshima kwenu wana jamvi!
nina simu tajwa hapo kioo kimezingua na siwezi kuafford bei ya kioo dukani hivyo naomba kama kuna mtu ana spare used tuongee biashara tafadhali.
Habari za majukumu ndugu zangu.... Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza.... Nna lengo la kufungua blog yangu ambayo itaweza kuniingizia kipato sasa swala lipo kwenye hatua za...
Kwa wale wanaotumia baadhi ya simu za lumia zinazosaport windows 10, ka umechunguza utagundua kwamba ile stock FM app imeondolewa kabisa. Sasa kwa wale wanaopenda kusikiliza traditional FM radio...
Habarini wakuu nimekuwa nikishuhudia mara kadha watumiaji wa Tecno wanaposhambuliwa na watumiaji wa simu nyingine ambazo wao hudhani ni za ubora wa juu wamekuwa wakijitetea na comeback yao imekuwa...
Wakuu natanguliza shukurani kwenu kwanza.
Mda umepita sasa nimewasilisha namba yangu ya simu katika Thread ya jamaa ambaye alikuwa anahitaji kujua maana au kujifunza jinsi ya kuflash na kuunlock...
Simu ya galaxy s5 genuine ilifungiwa kipindi TCRA wanafungia simu feki hii ilitokana na kuwepo kwa clone iliyoiga IMEI yangu hivyo kusababisha kufungiwa.....
Nilijaribu kuunlock nikaitumia kwa...
Wakuu Lg g2 yangu imesumbua touch screen digitizer....bei yake ni ipi na kufanya replacement pia
Note:bei iwe affordable maana nshashindwana na mafundi wapigaji,
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.