Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
huku ni mgeni jamani ushirikiano wenu utanifanya nijisikie raha huku jamvini.Nipokeeni.
0 Reactions
9 Replies
949 Views
JF Senior Expert Member Join Date : 29th September 2010 Location : home Posts : 452 Rep Power : 22
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Habarini waungwana wa jamii forum, jina langu ni Mcharuko au Dada mcharuko au shangazi mcharuko! Naomba mnipokee humu ndani.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Wapendwa napenda sn kuungana nanyi wana great thinker kuchangia mawazo pamoja nanyi. NAOMBENI MNIPOKEE kwanza ndo niweze kutoa michango yangu.
0 Reactions
32 Replies
2K Views
kwa heshima na taadhima naomba ridhaa ya kujongea kwenye jamvi hili la watu makini!
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mm mgeni humu. Naombeni ushilikiano wenu
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenyu wana jf , kwakweli nimekunwa na haya majambozi ya jamii forum sasa tuko pamoja ili tuweze kushare huu utamu wa jf.
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Naomba kuwa mwanafamilia mwenzenu, ndani ya JF Thanks Guys
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ni muda mrefu nilipotea ila ni kutokana na matatizo ya hapa na pale ambayo hayakuweza kutatulika kwa haraka.Naomba munipokea kwa mikono miwili
0 Reactions
7 Replies
917 Views
Habari zenu wakuu,nimesoma sn post za humu na zimeniponya maradhi yangu,nimeamua kuhamia rasmi,naomba kuwakilisha.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
jamani ehh napenda kujiunga pamoja na nyie ,nikaribisheni kwa upendo wa kwetu
0 Reactions
13 Replies
1K Views
  • Poll Poll
Nimekuja wandugu, Tuepushe Mihemuko. Tukitaka hoja zetu zidumu na kuacha mnyororo wa historia isiyo laumiwa tusimame katika ukweli. Tusiogope polisi katika kusema ukweli bali tumuogope...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nabisha hodi kwa mara ya kwanza jamvini.Imenichukua takribani miaka 3 kuweza kupata access ya acc yangu ya humu jamii forum. Nadhani wengi wamejiuliza inakuwaje nimejiunga muda mrefu hivyo tokea...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani mimi ni mwana jami mwenzenu Nimevutiwa na jukwa hili ndo maana nimeamuwa kujiunga Ni pokeeni Ila naomba kuwauliza Watanzania wenzangu: Hivi TANESCO ni shirika la kusambaza umeme Nchini au...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wana Jukwaa ni mgeni wenu naomba mnipokee katika Jukwaa hili tukufu
0 Reactions
4 Replies
768 Views
Hello wana jf i'm new member,hope 2po pamoja,thnx&regard
0 Reactions
10 Replies
827 Views
habarini humu ndani, Mie Asha ngedere naombeni mnipokee. Sitaendeleza tabia za ugomvi humu ndani.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Jamani natumaini mu wazima kabisa. Naomba nipige hodi rasmi katika mkeka huu adhimu. Niko pamoja nanyi na ninawapenda sana.
0 Reactions
15 Replies
1K Views
hallo wanaJF, Naomba mnipokee kwa mikono miwili hapa jamvini.
0 Reactions
9 Replies
885 Views
Thanks for impressing me, because your impressions has conviced me to join the forum. Let's use this place for benefits. I love you all.
0 Reactions
14 Replies
982 Views
Back
Top Bottom