Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nilikuwa nasikia tu.kumbe hata mimi nimeweza kuwa mdau.ni jukwaa zuri kuwepo.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Naomba mnikaribishe ni mwanachama hai wa jf
0 Reactions
11 Replies
1K Views
im new member in this site, so i just wana say hi to all members, thnks!
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Hodi jamani mie ni mwanachama mpya naomba ushirikiano katika kila jambo asanteni
0 Reactions
9 Replies
811 Views
wadau wa JF,habari za kwenu wandugu.nimekuwa guest mda wa kutosha.nadhani sasa mnikaribishe ndani kama ndugu yenu. naombeni mnipokee kiroho safi wadau wa JF.
0 Reactions
34 Replies
2K Views
habari zenu wana JF,mimi ni member mpya...nawasilimu wote!
0 Reactions
3 Replies
730 Views
Hi? Wanajf... Habari zenu jamani...! Naamini mpo poa sana hapa jamvini. Nafurahi kuwa sehemu ya "team" hii katika kujenga taifa letu.... I like the great thinkers!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wana jamii forum,naanza na post ya kwanza pwaaaaa.
0 Reactions
17 Replies
1K Views
naomba nikaribishwe humu ndani.
0 Reactions
7 Replies
880 Views
Habari waungwana... MzeeWaShamba hapa, mgeni wenu humu jamvini... WanaJF naomba mnipokee...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Jaman mie mgeni nmependa sana jamii forum lakn i dont knw how thing are carried out here jaman can some one help me!!!!!
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nimezaliwa ndani ya wanajf,naomba kupokelewa ktk familia ya wanaJF! Nimekuja na kahawa ili vijana wasilale ktk ukombozi halisia.Je,kuna nafasi jamvini?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hodi humu ndani,naruhusika kukaa jamvini nami nipate kufua bongo zangu waungwana?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hi Jf Members, I Salute you all in the name of Liberation of Our Motherland! Please accept me as a New Member! Thank you All.
0 Reactions
7 Replies
977 Views
Ndugu zangu wana JF. amani daima. Nimepiga hodi nikiashiria kuwa ndio najitosa mjengoni kwa mara ya kwanza nikiamini kuwa wana JF sote ni ndugu, basi sinashaka mtanipokea. Naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
mimi ni new member naomba mnipokee na ushirikiano thanks
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ngo x 4...hodi,,,wenye boma ii..! nimekuja juzi toka shamba naombeni mnipokee,,! baada ya hapo naomba mnisaidie, nataka kubadili UZA NEM nifanyaje wahishimiwa.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Naomba nitumie ugeni wangu kutambulisha pia blog ya indaba africa ambayo ni INDABA AFRICA I salute anchor
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nduguzangu wana jf. amani kwenu. nimepiga honi na hodi vyotekwa pamoja hicho nikiashirio tosha kua sijui nianziewapi ila ninaimani kwamc kwakua wana jf, woteni ndugu basi sinashaka mtanipokea...
0 Reactions
12 Replies
886 Views
Hlw Guyz mwenzenu nina kamba mguuni nataka mnisaidie kuitoa ili niwe mwenyeji kama nyie.
0 Reactions
11 Replies
975 Views
Back
Top Bottom