Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nachukua muda huu kuwaomba ndugu zangu wapendwa mnikaribishe kwenye hii familia ya JF. Nimejifunza mengi sana kupitia kwenu wakati nikiwa sio member. Sasa nimeona umefika wakati na mimi kuingi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
deadteja is here, jamani! naombeni, kwa mioyo iliyo kunjufu kabisa, mnikaribishe hapa kunako jamvi. msinitenge, mi mwenzenu under the same sun, the same god and l breath, of course, the same...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Wana JF, Kweli its an honor kua mgeni wa "Great Thinkers"; I believe nitapata meeengi toka kwenu (the IRONY nimeiskia Jamii Forum baada ya mwanasiasa wetu kulalama).
2 Reactions
45 Replies
4K Views
helw friends, im new here, i hope i'll get a warmly welcome from you thanks
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Na bisha hodi tayari nikiwa ndani ya nyumba hii ndo tabia zetu huko kijijini msishangae mimi ni Mtanganyika1 siyo mdanganyika naomba mnipokee tu,tutasalimiana baadae baada yakuketi ndo tamaduni...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimefurahi kujiunga na jamii forum kwani nilikua naisikia redioni tu.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
I am happy that now have joined JF. Through you I hope I will learn a lot. Ninaomba mnikaribishe kwa vifijo na vigeregere. Ambe muraa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naombeni all wanajamii mnipokee na fikra zangu,i wish am not alon.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hakika wana JF nawapongeza sana kwa habari na changamoto nyingi za maisha katika nyanja zote. nimeamua nami niongezeke kwenye jamii ,ili tuzidi kubadilishana mawazo mbalimbali kati ya aliyekuwa na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
helloo people on the site, hw is it on here
0 Reactions
3 Replies
799 Views
Mgeni akikaribishwa vizuri hujsikia furaha,amani,na upendo.nahitaji kupenda kupendwa na kufurahi na ndugu wote.amina
0 Reactions
15 Replies
1K Views
hi every one im so happy to be here to share my thoughts and listen to other people opinions. most important is the way we get breaking news from Tanzania.... this is one of the greatest site to...
0 Reactions
78 Replies
4K Views
Wapi napata mitambo ya umwagiliaji inayotumia nishati ya upepo?
0 Reactions
8 Replies
698 Views
Am new to this, Hi to all members
0 Reactions
18 Replies
1K Views
hi jf i'm a new kid on a blok just want to enjoi the ideas of great thinkers
0 Reactions
22 Replies
2K Views
mmmmh!!!!!jaman nikaribishen basi namie member,,,,
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Hodi mpaka ndani,dushelele hapa.Pata na kibwagizwo kidogo. Nilimwambie asile Ye alikula akavimba akaja Mtoto mzuri aliye zaa na yule jamaa Mwenye mahela, akaniacha na njaa Kwenye mataa Yeye...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
hodii mnataabika sana giza ni noma nimefika nikaribisheni
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Salaam wana JF, leo ndio siku ya kwanza kabisa kujiunga nanyi katika Forrum hii. Nimefanya hivyo kutokana na kuvutiwa na uhodari wenu katika kuchangia mada mbalimbali hasa za kisiasa. Natumaini...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wanaajamiii hodi humundaanii!!!
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom