Ni Mtanzania, naitwa Panjilwa Chiwaligo (Chiwal).
Kumbe nilikuwa nimechelewa! Sikujua, pengine ushamba au ..... Nimetonywa na jamaa kuhusu JF na kweli hapa ni mtungi wa elimu, burudani na kila...
kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia post zenu, zenye challenge za ukweliii,
nimeamua kujitupa ndani ya janvi hili kwani uvumilivu umenishinda nimeona nami nitoe mchango wangu wenye niaya kudai...
Hello People,
Just wanted to introduce myself in this forum.BTW, have been following up discussions and news for sometime without registering but now i wish to be a member!!
Cheers!!
Jamani hodi humu!!
Mgeni naomba kujitambulisha kwa wenyeji....!
Nimekuwa nikichungulia dirishani kwa muda sasa, nikaona niingie sebuleni ili nipate kujifunza mengi zaidi! Naamini mnanikaribisha...
Kufikiri, kuibua hoja na kuwasalisha mawazo ni sehemu ya upeo wa akili yangu, mi ni mdau wa Siasa,Elimu,Teknolojia,Uhusiano na mapenzi. Nawaombeni wana JF mnipoke kwa mikono miwili hooodi!!!
Hodi Jamvini Humu, Heshima zenu woote jukwaani.
Miaka mitano iliyopita mwezi kama huu na tarehe kama Bongo Pix Blog ilizaliwa, post ya kwanza iliwekwa katika blog, hayakuwa maamuzi mepesi kuanza...
habari za kazi wana jamii hongereni kwa kazi za ujenzi wa taifa wengi mnafahamu kuwa mimi ni mgeni jamii forum inaweza ikawa kweli ...mimi ni mgeni wa ku post thread ila co mgeni wa jamii forum...
Kila chanda chema huvishwa pete.jf.idumu wana jf hongereni. Kiukweli ninayo mengi yakusema. Ila kwakua nimgeni,napenda nitosheke na hili la kutambulika, kama mwana jf. Hai. Kiukweli nimefarijika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.