Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Bila mkwanja, Wengi tungekuwa jela hata kwa skendo za ganja, Ila kwa ujanja ujanja, kwa kutumia mkwanja, Rasta anapata stata bila utata.
0 Reactions
0 Replies
496 Views
intro: What don't kill me, make me stronger, Bado najiamini na bado nasonga What don't kill me, make me stronger, Bado najiamini na bado nasonga I'm survivor, i'm survivor, i'm survivor... verse...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari ya kazi wakuu? Samahani wakurungwa nisaidieni jina halisi la LUCKY DUBE.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
RIWAYA YA KIPELELEZI: ANGAMIZO MWANDISHI: HALFANI SUDY SIMU 0674 395733 WHATSAPP 0757 633010 SEHEMU YA KUMI NA NNE Daniel hakusubiri. Alichukua lile begi lenye laptop na kutoka nalo nje akiwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Haya wadau wiki hii najua wengi wamesafiri kwenda maeneo mbali mbali,,,tuwasaidie wale ambao wapo mikoa ya ugenini kufahamu wapi wanaweza kwenda kupata moja baridi...baadhi ya maeneo ni; 1.New...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Uzi huu wakuu uwe wa kupatiana lyrics za nyimbo mbali mbali ziwe za sasa za zamani. Ziwe za muziki wa aina yoyote kikubwa lugha ieleweke kwa hadhira legwa. Mimi naanza na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kupata jina la series kali ya kucheki weekend hii. Mimi ni mpenzi wa series za Kijasusi, Lovestory pia ila iwe Kali sana. Mfano wa Series ambazo tayari nilizitazama na...
4 Reactions
67 Replies
9K Views
♦️Nimefuatilia maudhui ya films za KITURUKI za kihistoria ambazo zinahusisha kwa kiasi kikubwa mapambano ya mapanga nikaona kwa mawazo yangu hazifai kuonyeshwa Tanzania ♦️ Zinaonyesha ukatili wa...
6 Reactions
45 Replies
4K Views
Duniani kuna kazi nyingi sana za mziki ambazo kutokana na culture barriers au kukosa promotion zinashindwa kutoboa but ndio nature ya muziki. Muziki mzuri huwa unakosa promo hivyo kufa kibudu na...
1 Reactions
53 Replies
7K Views
True Story. (Simulizi ya kweli yaliyonikuta kwenye maisha yangu) SEHEMU YA KWANZA Mwaka 2001 mimi na familia yangu tulihamia Mkoa wa Mbeya baada ya Mzazi kuhamishiwa kikazi huko, hivyo...
9 Reactions
59 Replies
10K Views
Usione watu wanapita pita mitaani ukadhani wana raha, Usione watu wanasulubika mitaani ukadhani walishapataa, Maisha yanatisha, maisha yanaumiza jamaani, Maisha yanatisha maisha yanaumiza moyoni...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwaka 2006 tarehe kama ya leo ilikuwa ya majonzi saana kwa wanafamilia na wapenzi wa utamaduni wa hip-hop na mziki wake jijini arusha, Tanzania na dunia kwa ujumla. Father nelly au Nelson...
22 Reactions
142 Replies
34K Views
Wadau nasikiliza hii ngoma ya Godzilla inaitwa STAY[emoji119][emoji119] Hii flow sijawahi kuona, Hip Hop ilikuwa imepoteza mtu kweli. Yani hii Stay dah[emoji119][emoji119] R.i.p Zizi.
1 Reactions
8 Replies
999 Views
Tuongelee filamu kidogo.. Inasadikika kuwa baadhi ya movies (Filamu) ukitazama zinaweza kukufundisha ujuzi au masuala ambayo hukuwahi kuyafahamu kwa urahisi kabisa. Mfano movies zinazohusu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jela sio sehemu nzuri tujirekebishe.Tusifanye utani na Jela.Hongereni wote mliotoka jela. cc: Nyani Ngabu Simba bujibuji pasco
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Kill the boredom 1. Money Heist Season 1 - 4 2. Ozark Season 1- 3 3. Sex Education Season 1 – 2 4. Power Season 1- 6 5. The Mentalist Season 1 - 7 6. Altered Carbon Season 1 - 2 7. A Million...
10 Reactions
36 Replies
17K Views
Mtunzi: Iddi Makengo BABA JOAN; MIMI NA MWANANGU JUU YA KABURI LA MKE WANGU!—SEHEMU YA KWANZA “Baba kwani na Mimi ni mchawi kama Mama?” Joan aliniuliza tena, wakati huo tulikua tunaweka mchanga...
4 Reactions
3 Replies
6K Views
Naenda kwenye mada! Nimechukua namba ya mhadhiri wa chuo cha NIT asubuhi hii hapa Big Brother kwa kuona nasikiliza hili goma. Aisee 'mademu' wanadata hatari, hii ni history na sitosahau...
5 Reactions
60 Replies
3K Views
Wasambaa wana ngoma yao moja inayofahamika kama Mdumange ambayo huwa inachezwa taratibu huku maungo yakitikishwa na wachezaji walio katika umbo la duara, wakiwazunguka wapigaji vyombo kama vile...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Tafadhari shufu kichwa cha habari hapo juu Mpaka Sasa Haijatokea Bandi Yoyote Kufunika Video ya "Mapenzi Kitu Gani" Ngwasuma Miaka ya 2007 huko Video haijapata mpinzani mpk leo,, Full...
2 Reactions
4 Replies
966 Views
Back
Top Bottom