Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Huyu sister nilimkubali sana alivyoigiza kama Harley Quinn kwenye Birds of prey. Alivaa uhusika (kujitia hamnazo) vilivyo. Juzi kati nimemcheki tena kwenye hiyo role kwenye The Suicide squad...
4 Reactions
9 Replies
864 Views
Kuna watoto wako talented sana. Naikubali sana performance ya Enola kwenye movie waterworld 1995.
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Huu mziki kiukweli unatakiwa kuangaliwa kwa jicho la pekee kwani unaenda kuharibu maadili/ utamaduni wetu. Hebu cheki haya mashairi ya wimbo wa Snura akimshirikisha MSAGA SUMU . Msaga sumu...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwa mfano muvi ya radhe ya mwaka 2021 ya salman umeona action za mule ndo vile vile mtu kapigwa ngumi moja kadunda kama kitenesi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna muda hata babaako...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Mkongwe ambaye hapewi heshima anayostahili. Jamaa ana sick unique tecniques za kuandika na kuchana, hata maneno mengi anayotumia kwenye ngoma ni ya kwake peke yake. Yeye mwenyewe ni shabiki namba...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Samahani, WanaJF! Naomba mwenye kujua jina la season moja ya kizungu anikumbushe, Ilikuwa hivi, Walitekwa wanafunzi ambao ni watoto wa mawaziri, rais, makamu wa rais na viongozi wengine ndani ya...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
UCHU By A.E Musiba SURA YA KWANZA ARUSHA Christopher Temu, ambaye Jumapili hii nyumbani kwake Arusha, alikuwa amefikiwa na ugeni mkubwa kutoka Umoja wa wanaharakati wa Afrika...
12 Reactions
685 Replies
232K Views
Habar wadau Moo ni tapel mjanja mjanja sababu Ana ack kama hariackt chochote kumbe anafatilia kwa karibu uku kila anae onesha Nia ya kuto mkubali basi atapambana nae na kama huna uwezo wowote ule...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Amapiano ni muziki mzuri na hivi karibuni umekwenda Sana kwa kiwango kizuri (umu Jf tunasema umekwenda kwa kiwango Cha dreamliner) pongezi kwa wa SA yote hii ni matokeo ya uzalendo na kuamini Cha...
5 Reactions
7 Replies
4K Views
Hii Ndio List Ya Wasanii Wenye Wafuasi (Subscribers) Wengi Zaidi Kwenye Mtandao Wa YouTube 1. #DIAMOND 5.44M 2. #RAYVANNY 3.03 3. #HARMONIZE 2.68M 4. #MBOSSO 1.71M 5. #ZUCHU 1.44M 6. #ALIKIBA...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa mara ya Tatu mfululizo Star Boy wizkid kuijaza tena the o2 london Arena baada ya kutangaza kuhusiana na kuuzwa kwa tickets zote za show yake hiyo(Sold Out) ndani ya Dakika kumi na mbili tu za...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Utii wa Roda Mama yumo nyumbani, anapika chakula chetu. Roda yuko nje, anacheza na wenzi wake. Sasa mama anamwita Roda aje kumsaidia. — Roda, njoo hapa. — Ndiyo mama. Lakini haji. Anacheza na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
-1- “KWA NINI UMEMCHAGUA POKA KINGU, wakati siku za karibuni kumejitokeza mafundi wengi wa kufanya mauaji, kwa ustadi wa hali ya juu?’’ “Huyu anafaa! Aliongea Ngongoseke “Ndiyo niambie sasa, kwa...
15 Reactions
219 Replies
56K Views
Kama ulicheki part 1 basi muendelezo wake nini kitajiri humo [emoji95][emoji95][emoji95] Ngoja nitulie nayo weekend ipo kwenye store teyari na zingine hizi list ya mwaka huu A quiet place 2...
1 Reactions
68 Replies
7K Views
Ikiwa leo Ndio Siku Ya kuachiwa Kwa Album Ya rapa kutokea Nchini Marekani 🇺🇲 @kanyewest, Ifahamu List Ya Mastaa Walioshirikishwa Kwenye #Donda Hii Ndio List Ya Mastaa Walioshirikishwa Kwenye...
1 Reactions
6 Replies
992 Views
Nigeria pale pale (Nollywood) kuna movie zenye uchawi Sasa napenda kufahamu je katika uhalisia wa maisha Yao uchawi wanauamini kwa kiwango gani na Wana upractice kwa mfumo upi? Wa kienyeji au ndo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana boda salaam. Naombenj shule kidogo ya kuhusu YouTube tranding. Diamond aliachia wimbo wake siku moja kabla Kiba hajaachia ngoma yake. Wakati diamond ana views 3m ndani ya siku tatu na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
RIWAYA; DOMOKAYA. NA; BAHATI K MWAMBA. SIMU; 0758573660/0658564341. 1. Walishushwa kwenye basi la wafungwa na kuamriwa kuchuchumaa huku wakiwa wamefungwa pingu za miguu...
7 Reactions
66 Replies
12K Views
Mwaka jana Mary aliomba Ken shilingi laki mbili za bongo kwa dharura.Ken aliogopa kumpa lakini Mary akalia Ken akakubali lakini ilibidi akope kutoka benki, kupitia simu.Mary alifurahi akasema...
8 Reactions
35 Replies
2K Views
Back
Top Bottom