Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Inaitwa "baby shark dance" Nimeiangalia wala sijaona maajabu yake.
2 Reactions
33 Replies
5K Views
yelena na natasha wanaingia kwenye mikono dreykov wanapikwa kwa mafunzo makali na mbinu mbalimbali za kijasusi wao pamoja na mamia ya wasichana wanafanya kila wanchoambiwa kwa ubongo wao ni kama...
3 Reactions
2 Replies
963 Views
Taylor Swift, msanii namba moja kwa mauzo 2020/21 Kama unapenda melody nzuri sikiliza nyimbo hizi HUTOJUTIA Cardigan Seven Willow(for girls) tis the damn season Long story short Dorothea...
2 Reactions
0 Replies
590 Views
Kama kawaida akiona inatrend style flani ataungaunga na kuforce wimbo hadi upendwe. Jana kaingia studio na CN mufasa kutengeneza nahisi track ya mtindo wa kibondeni "Amapiano". Jamaa wanawadaka...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Mtandao wa YouTube wenye makao makuu yake Marekani. Umefuta baadhi ya viewers kwenye wimbo wa ATTITUDE wa msanii Harmonize aliyo mshirikisha Msanii wa Zamani H. Baba pamoja na msanii wa Lumba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wanaomkubali FidQ Dondosha msTari wowoTe unaoufaham #FidLines[emoji116][emoji116] 'Bora wakuogope, Wakikupenda Watakuchukia'. ☆ FidQ ☆
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Leo nimeitazama mission imposible niliweka kwenye store mda mwingi nikawa naiskip tu kumbe ni bonge moja la movie Iko hiv binti yoh dae hae ni kutoka kitengo nyeti cha usalama anatakiwa kufanya...
4 Reactions
7 Replies
968 Views
50 CENT, GHETTO ECONOMICS NA MUZIKI WA RAP - 1 UTANGULIZI Peace Family Kwenye Kitabu nilichoandika cha “Uelewe Utamaduni wa Hip Hop” kuna sura inajulikana kama “Vita vya Kimashahiri mjini New...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
Back to Back Song mpaka mteme ndoano. Kule kwa wachafu roho baada ya mziki kubuma, na kik za mademu Kubuma sasa wamejikita kwenda kukopa hela benk ili wanunue mandinga waweze trend
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Hatimaye ijumaa imefika. Album hii, binafsi niliisubiri sana, mimi ni mdau mkubwa wa muziki wa Reggae, hawa jamaa wa Morgan Heritage ni moja ya Band bora kabisa ya Reggae. Gramps Morgan ametoa...
1 Reactions
0 Replies
766 Views
Burudani na mazoezi yamekuwa na umuhimu mkubwa katika karne hii. Viongozi katika nchi nyingi wamekuwa wakijaribu katika kuhimiza wananchi wao katika swala zima la kufanya mazoezi. Kuwepo na...
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Kuna Mzungu alikuja Tanzania kwa shughuli za kikazi. Katika mihangaiko yake alisikia njaa na muda wa lunch uliwadia. Alifikiria pa kupata chakula, aliamua kutafuta sehemu inayouza chakula apate...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata nafasi ya kuskiliza wimbo mpya wa @alikiba Ft @Mayorkun kutoka Nigeria Jina la wimbo...jelous
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Simulizi: AKWELINA Mwandishi: RUVULY DE FINISHER Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 YA 50 """ Mke wangu unajua hii inchi yetu ina mambo mengi mno ambayo tukiyaangalia kwa macho tunaona...
5 Reactions
77 Replies
15K Views
Hakika mwigizaji Jumanne Rajabu mwanzoni alikuwa anafahamika sana kwa jina la uchekeshaji la Chili Sosi au Chili akiwa na swahiba wake Ringo baada ya kuamua kuuvaa uhusika wa mganga wa kienyeji...
4 Reactions
12 Replies
4K Views
Inapendeza kuona mji wa dhahabu makao ametuandalia/ Lakini ikifunguliwa milango humo napenda kwanza kumuona yesu/ Ooh napenda/ Napenda kwanza kumuona yesu na sura yake ya ajabu kuu/ Mbinguni...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
If only you could see the tears In the world you left behind If only you could heal my heart Just one more time Even when I close my eyes There's an image of your face And once again I come to...
3 Reactions
8 Replies
875 Views
Habari wana JF nawaletea simulizi nzuri ya Ulikuja kutafuta nini? Kama mtaipenda basi ntawaletea sehemu ya 02 sahivi tucheki hii sehemu ya 01. Kweli hamna kinachoshindikana mbele za Mungu baada...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom