Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mtunzi Juma hiza Sehemu ya 01 Shauku niliyokuwa nayo ni jinsi nitakavyomuona dada na shemeji kwani mara ya mwisho ni siku ya ndoa yao iliyofanyika kwenye ukumbi wa New Msasani Club. "Wengi...
4 Reactions
85 Replies
11K Views
Baada ya kupata umaarufu mkubwa kutokana na upekee wa mtindo wake masimulizi, Msimu wa Pili wa Filamu Serengeti (Serengeti II) unarejea kuanzia kesho. Filamu hiyo inayosimulia maisha ya kila siku...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Marie Jose alimfanya nini lokasa, nyimbo hii alikuwa anaipenda sana dingi miaka ya 1993 nikiwa std 1, krismas dingi alikuwa akiwenda kanda na kuirudisha nyuma mpaka tuliposinzia, Je, nani anayo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Msaada wenu tafadhali. Nahitaji wimbo wa 'walimu tuna hali ngumu' ulioimbwa na marehem John Walker na Mkoloni, video au audio. Kama kuna mwenye wimbo huo naomba anitumie. Huo wimbo ulikua...
1 Reactions
24 Replies
12K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba mni-pm mawasiliano ya J. Nature kwaajili ya shida binafsi. Zaidi ya yote ni moja ya wasanii wakongwe ninao wakubali sana.
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Gang of London seasons 2 itaachiwa mwanzoni mwa mwaka 2022. Kuna baadhi ya wahusika wanatalajiwa kurudi, ila Sean Wallace bado haijajulikana. Story ni miaka miwili baada ya matukio ya season 1...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mamamamaa! Nyie! Nyimbo Nzuri Sana ipo huko YouTube ya Barnaba Keep watching good music
2 Reactions
9 Replies
3K Views
jiwe jipwa kutoka kwa mnigeria na simba
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Leo ni #TBT, angusha mstari wowote kutoka kwa Albert Mangwea, Mstari ambao hadi leo unabaki kama kumbukumbu aliyoiacha CowBama.(r.i.p) Naanza Mimi, Ngoma inaitwa Msela humo ndani kuna Juma...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kwema wakuu? Nisiwachoshe, niende kwenye kiini cha uzi. Hii movie ina nadharia ya comedy, nilipata kuiona katika moja ya channel DSTV. Lakini sikubahatika kuimalizia mpaka mwisho. Inaanza watu...
0 Reactions
4 Replies
712 Views
New video for tanzanians and all diamond platnumz fans
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Jamani naomba tusaidiane, kuna nyimbo za Gospel huwa nazitafuta na sizipati naomba kwa uzi huu ikiwezekana nifanikiwe. Mimi nawapa huu wa Malebo kama kuna yeyote anautaka ila mimi natafuta .. 1...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Mimi na wewe Chuki ya nini kati yangu Mimi na wewe Hasira za nini wee bwana Hasira za nini wee bwana Wataka kuniua bure baba Wataka kuniua bure baba Kwako hayuko Kwangu hayuko Chuki ya nini kati...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
SIMULIZI HII IMEKAMILIKA IMEANDIKWA NA : ZUBERI MARUMA CHANZO : BURE SERIES SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI JOHN VERGAN kijana anayemiliki kampuni kubwa na mwenye mafanikio makubwa katika maisha...
1 Reactions
14 Replies
17K Views
Natafuta bingwa wa draft Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Dogo Huyu ni hatari anatengeneza midundo mizuri sana kizuri ni kwamba anatemgeneza na kuuza kwa bei rahisi. Msikikize hapa moja ya mdundo wake kabisa Link hii hapa:
0 Reactions
0 Replies
523 Views
Namaanisha zile nyimbo maarufu na ambzo sio maarufu..ila tu hazina kick(mdundo) Zaidi ya sauti ya kawaida(vocal) na sauti ya umeme(ala/voice) ambayo haihusishi kick (pigo mtetemo) 1. Mr flavour...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Sina link ya YouTube video kwa hiyo nenda kai search USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU...
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Baada ya kusubiria muda mreefu takribani mwaka ni siku kadhaa hatimae July 9 Black widow imeachiwa rasmi. Kwa wanaotumia Disney plus wataipata kwa 30$ though sidhani kama Disney+ inapatika bongo...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu Katika vitu visivielewi ni pamoja na uimbaji wa msanii huyu wa Marekani anayejiita Dj Khalid Kila nyimbo aliyomo utaambiwa ni wimbo wake kamshirikisha msanii furani Anachokiimba sasa...
10 Reactions
44 Replies
5K Views
Back
Top Bottom