Poleee dear ex mwenzako nipo salamaa,
Mambo ya mastress nishasahau hizo zamaa,
Alafu sizeeki nadekezwa utadhani mwana,
Tena mchoyo hakiombeki penzi sio la kugawana,
Ujinga wakuombana password za...
Why should love
I love you
Is just a sentence
Contains there words
But why it becomes so toxic
They say love is everything
They say live without love
Is like garden without flower
And the...
Habar Wana jamiforums
Kama head inavyo someka apo Leo Nina machache ya kuuliza kama itakua ni mimi ambae sijaelewa pia mnaweza kunielewesha
Leo napenda kuongelea ili swala la mchakato wa Simba...
Mimi sio mpenda miziki kivile kama ila hawajamaa muda wote wapo busy na miziki 24/7 hawana story wala matangazo wao ni burudani tu tena ile ya kiwango cha juu sana nahisi madjv wao wako moto sana...
Mtunzi Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
"Catherine upo wapi?” ilisikika sauti ya msichana kwenye simu.
“Nyumbani! Kuna nini?”
“Unalala?”
“Ndiyo!”
“Mapema yote hii? Yaani na hili baridi la Arusha...
DJs huwa vigezo gani unafuata kuweka playlist yako? Unatumia njia zipi maana kila Mtu ana njia zake.
Ama huwa unatoa ngoma kichwani kama mafuvu?
Cc Smart Guy
Huyu Dj namkubali sanaa, anajua anachokifanya.
-Anaepuka matusi kwenye kazi.
-Sauti yake inavutia kusikiliza.
-Anatoa ushauri wa kimaisha anapotafsiri movie
Na mengine mengi.
Binafsi nampa...
Sanaa ni ubunifu
Ni kipaji
Ni uwezo
Ni taaluma
Lakini kuna watu wanachukua kazi za watu flan au wanaziedit kwa asilimia flan ndogo sana na kuzifanya zao bila kutoa credits kwa wahusika...
Sasa nachua break kupost yale mambo yetu na narudi kwenye mamabo ya ki BRAZAMEN
sasa kazi kwenu ma bloggers wa kibongo kuja kunyonya vitu toka humu
Kwanza Nyonyeni VIDEO hii hapa ya MNYAMWEZI...
sema hii album ya Timaya ya moto asee kuna ngoma kama
Chulo bothers no body
Something must kill a man
Don dada
Born to win
Na ngoma nyingine kibao afu mshikaj kaimba alone afu zote za Moto
Mi...
Habari wakuu na poleni na majukumu
Nimekua mpenzi sna wa kipindi cha The Story Book cha Wasafi Media
Nilikua nimevutiwa sna na umahiri wa msimuliaji Mtiga Abdallah. Alikifanya kipindi kikapedwa...
Enrique Iglesias__Hero
Enrique Iglesias_Escap
Enrique Iglesias_Somebody Me
Enrique Iglesias__Why Not Me
Enrique Iglesias__Addicted
Enrique Iglesias__Only a Woman
Enrique iglesias Takin back my...
Holla,
The weekend is on the way, days are numbered, like sand through the hour glass, the end of the year is here.
Havana Kasie Matata..
The story behind is....
He takes me to East Atlanta
His...
Hello,
Mnajisahau sana, mkitumiwa ujumbe hamjibu.
Kama hamtaki kusumbuliwa si muweke contacts za meneja wenu, mtu akitaka kuwasiliana na nyie anapitia meneja wenu?
Habari zenu mabaharia wote mliomo humu. Mara nyingi mtu akiita mabaharia jinsia ya kike huwa wanajiweka pembeni sasa sio kwa salamu yangu,mimi nimewalenga nyote.
Sasa niende kwenye kaburi langu...
Kama Bichwa la Habari lisemavyo. Kipindi tajwa hapo juu kina saidia sana kuvumbua aaina ya mahusiano ambayo vijana wanapitia.
Jana nimesikiliza kisa cha dada mmoja alikutana na jamaa ambaye...
Hello guys mambo vp? Poleni na majukumu.
Ipi ngoma kali kati ya hizi mbili.
Enrique Iglesias__Bailando(English Version) VS Luis Fonsi ft Daddy Yanke__Despacito.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.