SISTER MURCIA.
NA HEMED MAYUGU.
NO. (01).
Ni sister ambaye alikuwa na upako mkubwa na
inasadikika alikuwa na uwezo wa kuomba chochote
na mungu akamtekelezea. hata kama alikuwa na
njaa yeye...
Kwa ufupi mwaka huu pamoja na kuwa wa mabalaa ila kwa upande wa burudani hasa mziki imesonga kama kawa. Shiriki nasi wimbo zilizobamba sana kwako kwa mwaka huu.
Mimi: Dear God; - DAX
Lyrics;
I...
Unajua kila alfajiri hapa nchini Ujerumani ninafungua kamgahawa kangu; ni kagari nimekafanya mgahawa unaotembea.
Sasa kuna sehemu apa karibu nimepata location nzuri ina mchanganyiko wa watu...
Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “Shikamoo ” Hata Kama ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili ni bonge moja la Sebene kwa Kila...
Sehemu ya 01
Mtunzi: Ally Katalambula
Ndoa ni kama jumba au ngome yenye siri kubwa, waliopo ndani wanataka kutoka nje na walioko nje wanatamani kuingia ndani. Waliotoka kwa makosa ya kujitakia...
SEHEMU YA 01
Nilikuwa bado kijana na umri wangu ulikuwa wastani wa miaka ishirini na mitano. Sikuwa nimepata elimu ya kutosha baada ya wazazi wangu wote wawili kufariki dunia wakati nikiwa...
Wakuu GT,
Mara kadhaa nimesikia kuhusu shindano hili la Miss Tanzania nilikuwa naomba kufahamishwa faida yake katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kitamaduni.
Pia taifa kuwa na Miss linafaidika...
Simulizi : Bahari Ya Hindi
Sehemu Ya Kwanza (1)
Ilionekana gari moja aina ya Mark II (old model) ya kizamani,ikipaki nje ya geti la kuingilia bandarini….wakashuka watu wawili,,Mwanaume mmoja na...
Daa
Hii movie nimeiona miaka nyuma kidogo sijui inaitwa je,ipo hivi
Kuna mama alikuwa analea watoto, sasa pale kwake kuna maabara flani doctor alikuwa anafanya utafiti,
Kuna siku doctor...
Mapinduzi ya burudani:Nimekuwa mdau wa matamasha ya burudani hapa nchini na nimefarijika kuona matamasha yanazidi kuongezeka na hii itawapa changamoto wasanii watengeneze ngoma Kali ili tupate...
Baada ya kuimaliza riwaya ya UKURASA WA GAIDI,huku tukielekea mwisho wa riwaya ya SAUTI YA MTUTU,Ni wasaa mwingine kukuletea MBWA WA GETI.
Riwaya hii nitaanza rasimi kuiweka hapa keshokutwa,saa...
NA; BAHATI K MWAMBA
-----1------
Kikao cha watu watatu kiliendelea na kila Mjumbe, tayari alishatoa wazo lake aliloona ni sahihi kwa wakati huo. Makubaliano ya hapa na pale...
RIWAYA; NGOMA NGUMU
NA: BAHATI K MWAMBA
SIMU: 0758573660/0624155629
NAIROBI, KENYA…
Kulikuwa na mabishano makubwa ndani ya nyumba moja ya kifahari, katikati ya jiji la Nairobi. Kulikuwa na...
Kwakua sifahamu sana mambo ya HIPHOP huenda nikawa nimekosea kuuliza swali (Mtanisamehe)
Naomba kujuzwa mambo kadhaa kuhusiana na hiphop.
1. Tofauti ya MC na RAPPER
2. Wanasema hiphop ina nguzo...
Mshkaji nammanya kitambo sana kwa title ya danny msimamo alidondosha vitasa kadhaa kikiwepo hiki cha leo ambacho nakichededea sana. kitasa kinaitwa MIC. Kitambo sana nimekisikilizia hiki kitu...
Naona mashabiki wapo busy kujadili Na kulinganisha wasiojua mziki wanaacha kusikiliza mziki mzuri. Link Hiyo hapo chini akiwa Na Ben pol, huu ndio mziki sasa wengine hao wanapiga makelele...
Heshima mbele wadau, ninahitaji kununua system ya mziki wa club, je ni vitu gani vinahitajika kufanya system nzima na bei yake ikoje, specifications zipi za kuzingatia?? Gharama yake kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.