Habari za humu Wanajukwaa
Binafsi natamani sana kujifunzaa gitaa.
But nina maswali kidogo kuhusu hiki kifaa kwa wataalamu ambao wanaujuzi nalo
1. Naweza nkatumia muda gani kujifunza gitaa?
2...
Kwa mujibu wa METACRITIC hii movie ndio Movie bora dunian mwaka 2019,na pia ikishika nafasi ya 42 katika movie bora katika Muongo uliopita.
Mtandao maarufu wa Unaohusika na ku rate movies duniani...
ALI KIBA AOMBA MWALIMU NYERERE ATENGENEZEWE ‘DOCUMENTARY’
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ali Kiba amemuomba Rais Magufuli atenge bajeti ya fedha zitakazotumika kutengeneza ‘documentary’ ya...
'A Cure For Wellness'
Lockhart anakutana na baadhi ya maboss zake kujadili barua iliyotumwa na Boss wao (CEO) Pembroke kwamba hatarudi tena na wasimtafute. Kitu kinachowafanya wawe na mashaka...
Hata ingekuwa wewe, kwa yule mwenye nyumba ungelianzisha valangati la nguvu. Sijui hata nianzae wapi kukuambia siku uzalendo uliponishinda, lakini niliamua "kumnywea" mpaka "nilipopendeza"...
Wakuu kwanza poleni na majukumu.
Naombeni mnitajie zile ngoma kali za taratibu(slow kabisa) Mfano Ed Sheeran__Thinking out loud
Enrique Iglesias_Hero
Mnaozifahamu shusheni Playlist hapa...zile...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema taarifa za kuufungia wimbo wa ‘One time’ wa Judith Wambura maarufu kama Lady Jaydee si za kweli.
BASATA wamesema walimuita kumpa maelekezo msanii huyo...
SEHEMU YA KWANZA
Kanisa lilibaki na mshtuko mkubwa waumini nao hawakuamini tukio waliloliona mbele ya macho yao. Padri alibaki akiwa amezubaa hakujua nini kinaendelea kanisani hapo
pindi Laurance...
Wimbo uliobuniwa na Timu ya CHADEMA kwa ajili ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020 unaweza kuwa ndiyo wimbo Bora kabisa kwa Chaguzi za hivi karibuni.
Wimbo unaitwa "AIYAYA CHADEMA"
Sikiliza mwenyewe...
Jina la msanii: Mejja
Jina la wimbo: Niko Poa
Nchini: Kenya
huu ni okonkwo
tangu nikuje Nairobi
watu wangu wa Majengo sijawasahau
skia hii
Verse 1
bro najua nimekosa sana
ndio nimeandika hii...
Haina ubishi wakuu hakika hili ndio litakua hiphop kali na lenye beat funiko mwaka 2020.
Beat lake tu ni hatari. Kama una sabufa lako jirani hapo jaribu kuconnect utasikia bonge la dundo.
Habari za weekend wanajamvi.
Moja kwa moja kwa mwenye kujua ni series au movie gani inaleta raha na kufurahisha hasa ukiwa unaangalia na mke au mpenzi wako. Iwe ya aina yoyote ile ila sio (pono)...
Niliacha kutazama hizi filamu za kitanzania kwa sababu ya makosa mengi ya dhahiri kuanzia uigizaji na matukio yanayoendana na filamu zao.
Kuna mwigizaji hivi karibuni amejitokeza kwa filamu zenye...
Hii ni kwa wale wapenda movie huwa tumezoe kuona wengi huwapenda sana mahero/starring kwenye movie kushinda maadui mm ni mmoja kati ya watu ambao wanaopenda sana maadui kushinda mahero/starring...
My Soulmate Episode 1
Produced by EquatorStory Specials
Stela :”Nickson uko wapi jamani ?? Mpaka sasa umechelewa sana.”. Ilikuwa ni sauti ya stela akimngojea mpenzi wake Nickson alie kuwa njiani...
Kwa kweli hata mimi sijui jina lake, wala aliyeupiga.
Ingawa hata mimi ninaupenda huenda kuliko yeye. Laki yeye ndiye anahitaji aupakie kwenye simu yake sasa hivi!
Sasa nafanyaje ili nipooze kiu...
Leo nataka tushare kidogo kuhusu apple music, kama tunavojua nje na kuproduce simu, Pc, watches, tv etc apple pia wana app ya music digital streaming services . Apple Music launched june30,2015...
Zuchu ameachia ngoma yake ambayo amemshirikisha msanii kutoka Nigeria JOEBOY ngoma inaitwa NOBODY humo ndani zimechanganywa lugha mbili kiingereza na kiswahili
Sent from my SM-A107F using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.