Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Genre yeyote. Style yoyote. Gender yeyote. Ila tu akiwa stejin bila kutumia Cd atafanya vizuri,. Vyombo vipigwe live hapohapo
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Mimi sio mpenzi sana wa Singeli, maana najuaga tu ni makelele, hamna cha maana. Nawasiiliza sana Eminem, Pink, Sia, Jay Z na wengineo wakali kama Barnaba Classic! Ila baada ya kusikiliza leo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sehemu ya 01 Mtunzi: Ally Katalambula “We ni nani?” “Naitwa Jamila Mustapha” “Unapiga simu kutoka wapi shida yako ni nini?” “Nipo Temeke...bila shaka wewe ni Hussein Mwanda, mwandishi maarufu wa...
8 Reactions
52 Replies
8K Views
Kwa watazamaji filamu wenzangu, naona hii itakuwa ndiyo title ya kila thread ya movie review nitakayoianzisha kwa mwaka 2019. Hatuna utaratibu wa kuchambua movies hapa nchini kama ilivyo huko...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
BUJUMBURA, BURUNDI [emoji1060][emoji1060][emoji208][emoji208] 8/3/2020 [emoji909] Haters toka Wcb tunajua ni Kiasi Gani Mnaumia kuona kijana anapasua Boda
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Wimbo una Unigeria mwingi, Tuzo ataendelea kuzisikia kwa Radio na kuziona Insta kwa wasanii wengine, Jamaa alichobakisha cha kujivunia ni Views Youtube Ngoma mbovu mitusi kama kawaida yake Kama...
1 Reactions
43 Replies
9K Views
Wakati mwingine baada ya kazi na shughuli huwa tunaketi na kutumia simu zetu kwa kuchati, kusikiliza music na vingne. Wakulu kwa nia ya dhati naomba msaada kujuzwa ni game lipi ni zuri kwa ajili...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu kwema? (Hope kwema) Kuna hii song Inaimba background kwenye hii video clip, please mwenye kuijua naomba anisaidie jina la hiyo song or share hapa nasi wote tuipate. Pia Iko swahili version...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kitabu cha Ujajusi wa Kiuchumi na Kidola cha Yericko Nyerere hakiyahusu mataifa Tu . Hata watu binafsi, makampuni etc wanaweza kutumia mbinu hizo. Moja Kati ya mbinu anazo zielezea Bwana Yericko...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika pitapita zangu nmekutana na kionjo cha one of the song in #afroeast album. Aisee a new big artist in Africa and the world is introduced tarehe 14 mwezi Wa 3. Kondeboy anaenda Ku trend kama...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama unafatilia hii tamthilia kwenye kisimbuzi cha Azam bila shaka kuna jambo umejifunza kuhusu roho mbaya ya mabeberu na ukisiakia watu wanatamani kutawaliwa upya au kupenda kauli ya Trump kuwa...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
UNMASTERED VERSION... Ukiipenda Tuwasiliane... By Magnifico. cc pancho boy, donlucchese, Beira Boy
1 Reactions
16 Replies
1K Views
baada ya 'Scorpion' ya mwaka 2018 Wakati wa mchezo wa Toronto Raptors na Phoenix Suns jumapili ya jana Drizzy alidokeza kuwa album yake mpya haitokuwa na nyimbo nyingi kama iliyopita (scorpion)...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Album mpya ya Justin Bieber 'Changes' imeshika namba moja kwenye chart za Billboard 200 na kuvunja rekodi aliyoiweka mkongwe Elvis Presley miaka 59 iliyopita Justin Bieber ameweka rekodi ya kuwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Shalom watu wa Mungu, Binafsi nimejaribu kufatilia muziki wetu wa hapa Tanzania ila kiukweli nimegundua kwamba wapo wasani wanapenda muziki ila muziki hauwapendi. Sasa basi tushauriane, wewe...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Team Wilder please njoeni hapa tuanze kushangilia ushindi mapema maana huyu dogo Tyson feki alichonga sana sasa leo mwisho wa maneno, mikono ndiyo itakayoamua nani ni zaidi ya mwenzake. Nyani...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Husika na kichwa hapo juu.[emoji14] Hapa kuna Khaligraph, huku kuna Nyashiski, kule kuna Sauti Sol, pembeni kuna Hart the band, nyuma kuna Sol generation, katikati yupo mnyama Octopizzo, kulia...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Habari ya asubuhi wakuu,natafuta nakala za albamu hizi,TELEVISHENI YA MAISHA na BARABARA YA 13 ULYANKULU, Mwenye nazo tafadhari naomba tuwasiliane at any cost,naitaji audio tu. Amani kwenu.
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom