Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
You know when you love her when you let her go....Passenger!
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wapendwa wakuu, napenda kujua je, ukiroot android phone yako unaweza kuhack app ya amazon kindle ikawa cracked? Chief Mkwawa, Executor, Freak e.t.c
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Kama Heading inavyojieleza naomba mwenye namba ya Tuwa au Dada mtu ( ambaye nilikuwa nawasiliana naye bahati mbaya nimepoteza simu yangu ). Natanguliza shukrani kwenu wakuu
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu, Nakiri huu wimbo nimeanza kuusikia kwa Mara ya kwanza Jana,lakini kumbe una zaida ya mwaka mmoja ila sikuwahi kuusikia,labda kwakua hua si mfuatiliaji sana wa bongo fleva,kumbe aliimba...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
DUDU WASHA 1 Episode 1-4 -UTANGULIZI- Ni mwalimu mkuu wa kike katika shule ya msingi Tundu aliyefahamika kwa jina la Walda Nyaongo,,shuleni hapo alikuwa akiwafundisha somo la hesabu darasa la...
2 Reactions
49 Replies
42K Views
wadau ntaupata wapi mziki wa sikiliza umeimbwa na khadija mnoga kimobitel upo kwenye album ya kilio cha yatima bendi double m sound
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu Kwema, Miaka ya 1980 katikati Mwanadada Sofia George aliibuka na kibao chake kikali kinachokwenda kwa jina la Girlie Girlie ambapo alikua akimshutumu mpenzi wake kijana kua ni mpenda...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Kula yangu kwa Tupac-DO FOR LOVE
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Lets stop for a moment tuskize mziki mzuri.
2 Reactions
65 Replies
17K Views
Hello wanasport. Nimepita instagram leo asubuhi. Naona location Germany wenye tetesi vipi captain diego anataka kuamia bundersliga nini?
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Kutoka kwenye wimbo unaoitwa KAINAMA Diamond platnumz anaimba:- "Salam ziende kwa WANJERA, Doni maisha kitasa kwenye Bunyeru" wakuu nimewaza sana wanjera ni nani na "Doni maisha kitasa kwenye...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Nipo katika basi moja la kampuni fulani nkisafiri kuelekea mkoa fulani, nimejikuta chuki yangu juu ya bongo muvi ikizidi kuimarika... . . Kuna muvi sijui inaitwaje lakini kuna huyu jamaa anajiita...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani hii Album ya huyu dada inaitwa Rhapsody ni moto wa kuotea mbali. Amewazungumzia wanawake weusi na maisha yao kwa ujumla: Maya Angelou, Nina Simone, Oprah. Kuna wimbo unaitwa Cleo ambapo...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wakuu!! kwa wale wote wanao fuatilia MARK ANGEL COMEDY tukutane hapa.. Hivi ni vichekesho vinavyotoka kila ijumaa (episode moja) Vinarushwa youtube.. Mimi binafsi nampenda "success"...
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Ni jioni tulivu, nachukua KIFAA changu kisha naanza kupekua pekua kwenye kwenye "folder" la HIPHOP... Nakutana na albamu ya Jay Z inayoitwa "The Blueprint", naamua kuzicheza ngoma zote kwa pamoja...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Kizomba dance ni aina ya uchezaji show unaopendwa sana huko overseas.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Yupi ni bora kuliko mwenzake maana nyimbo zao zinafananafanana hivi.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hakuonekana na binti hakuwahi kuiasi dini Mfuasi mzuri wa maadili lakini alikufa kwa ngoma Aliwarudisha waliopotea akawapa tiba mbadala Na adui mkubwa wa zinaa lakini alikufa kwa ngoma Najaribu...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom