Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Ukisikia Political correctness ndio haya, hii ilikuwa nafasi nzuri zana kwa mabrazameni wa D-TOWN kujichanganaya na ma redbones lakini wapi.... anyway mimi hii nilihisi tu inaweza kuja kuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
I'd rather die than faking life. https://hivisasa.com/posts/14216536-i-would-rather-die-respected-than-fake-lifestyle-for-popularity-alikiba Anasema yeye hawezi ku fake life. Bora afe akiwa real...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Show hii yaoneshwa CLOUDS na AZAM...lakini kawaida sanaa... Nilitegemea makubwa sana na hii TV SHOW ambayo tumeitohoa kwa wenzetu huko kama America' got talent... Nikategemea tutaona vipaji...
13 Reactions
69 Replies
9K Views
Nini Maoni yako kuhusu Ujumbe wa Video mpya ya Rosa Ree Nguvu za Kiume
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Nani akili kubwa zaidi kati ya Professor wa Money Heist na Michael Scofiled wa Prison Break?
1 Reactions
10 Replies
5K Views
Habari ya asubuhi wana Jf Kama kichwa kinavyosema nimesikiliza WASAFI FM kutwa cjasikia ngoma ya konde na huko nyuma haikuwa hivyo..ilikuwa kila baada ya dk lzm usikie ngoma ya konde lakini sasa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa Najitahidi sana kuidownload nyimbo ya THE MAFIK-PASSENGER lakini inakataa,inaandika FAILED FORBIDDEN,NISAIDIENI WAKUU,AU NYIMBO IMEFUNGIWA?
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuna movie moja jina nimesahau, cover page inaonesha mwanamke yuko uchi kamkumbatia jamaa lakini nyuma demu kashika kisu. Anayekumbuka jina la hiyo movie tafadhali.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuwasalimu kwa jina la Bwana wapendwa watu wa MUNGU. Naomba niliweke vizuri jambo hili. Jana nilipokuwa sehemu nasubiri muhamala usome nichukue changu, pembeni kuna kijana anaingiza nyimbo...
1 Reactions
12 Replies
12K Views
Kwa mahitaji ya Live Band karibu saana upate burudani nzuri kutoka kwetu, tunaimba nyimbo aina zote (COPY) tunapiga katika event yoyote. Lounge / Grill, Hotel / Bar, Beach / Club Harusi / send...
1 Reactions
2 Replies
833 Views
Balenciaga, got it for you Somewhere in the sky, got a clear view Everything Supreme that we do (oh) Everything is Gucci that you do (oh) So everything Supreme and BP Everything Supreme and BP, oh...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mambovipi wakuu? Nimeona nifungue hii thread kwa wale ambao kucheza games za computer na nyinginezo ni moja ya starehe zetu baada ya kazi, kama wanywaji wa pombe wanavyojiburudisha, tupeane setup...
1 Reactions
6 Replies
962 Views
Miezi miwili mitatu hii ya karibuni nlikuwa Dar, sasa katika pitapita zangu mitaani kuna wimbo flani wa singeli ulikuwa ukisikika karibia kila mahali.., Una beat flan zuri afu ndani yake kuna...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasalaaam ndugu zangu, Samahani nataka kujua zaidi juu ya huyu msanii. Ametokea na anaishi wapi? Ana nyimbo ngapi na zipi? Meneja wake ni nani? Amenivutia sana na ana kipaji cha kipekee kabisa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
#REPOST WASAFI TV Hakuna kitu kinaumiza kama kumpoteza mtoto wa kwanza. Diamond platnumz yupo katika majonzi makubwa sana. Habari nikwamba Harmonize hana ugomvi na Baba yake kimziki Diamond...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi nipo hapa jet iko foleni moja matata magari yamezimwa kabisa,, niambie wewe uko wapi
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Maana jamaa wa mawingu ni kama pumzi inakata kila kona wasafi & muziki munene fm...mawingu wakubali enzi zao zinachikichia sasa
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mimi namba 5 Jason stratum bwayhermitTz
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom