Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
NYEMO CHILONGANI. SHAMBULIO LA DAMU 0718069269. Sehemu ya kwanza. Dunia nzima ilikuwa kimya kwa muda, hakukuwa na mtu aliyeamini kile kilichokuwa kimetokea. Waliokuwa mbali na televisheni...
9 Reactions
79 Replies
14K Views
Hadth zko wap??
0 Reactions
0 Replies
456 Views
Wakuu tusaidiane kutungs nyimbo yenye jina hilo juu. Ikiwa tayari tutanunua beats za nyimbo ya Diamond " The one" Mie naaanza hivi Wacha waseme , wacha waseme wacha wasemeeee. Wapambe...
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Wakuu habari zenu kuna movie niliiona miaka ya nyuma kwa kiswahili tulikua tunaiita Jeshi la wafu naomba official name yake wakuu kama kuna anayejua wakuu Ahsante.
0 Reactions
7 Replies
7K Views
WAHENGA TULITESA SANA ENZI ZETU DISCO LA MCHANA (BOOGIE) NA MA-DJ WAKALI!!! Zamani ilikuwa raha sana ambapo jiji la Dsm lilitamalaki disco lililokuwalikianza mchana(Boogie) hadi usiku. Enzi hizo...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
wakuu habari zenu!! "niende moja kwa moja kwenye mada husika je ni kipindi gan bora cha michezo?je ni sport extra ,mshikemshike ,unaweza kuongezea
1 Reactions
4 Replies
943 Views
Wanabod kwa Mwenye wimbo Wa Nash mc anisaidie unaitwa beti na dirisha dogo LA usajiri
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Leo ni siku ya uhuru wa marekan je kama na ww ni team usa leo tunasherekea uhuru ambao tulio upata kwa nguvu zetu wenyewe kupitia mkuu wa jeshi kipindi icho GEORGE WASHINGTON Je unasherekea ukiwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kati ya malkia leyla rashidi wa jahazi modern taarabu na jokha kassim wa tanzania moto modern taarabu yupi wamkubali?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Yep ni Tambaza. Kwani kuna shule gani tena nyingine inafua dafu?! Come on pipo, let's be honest... Naongelea Tambaza Sec. School. Shule iliyotoa watawala wengi wa nchi hii. Shule iliyokuwa na...
2 Reactions
101 Replies
18K Views
Habari zenu wadau...leo nimeona tujadili kidogo vya nyumbani maana niliona threads moja ikitaja movies zenye sex scenes nyingi na hapo ndipo wakina Spartacus,game of thrones na nyinginezo...
0 Reactions
11 Replies
18K Views
Wimbo: Hisia za moyoni msanii: Songa ft Double mtayarishaji : Double studio : Tamaduni music Muziki mzuri ni ule wenye uwezo wa kuteka hisia za wasikilizaji. Wasanii wachache sana wanaweza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Meneja wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Hamisi Taletale kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema, yupo tayari kujenga ukumbi wa starehe hata kesho kama Serikali ya Tanzania itamruhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Oyooooo...! Moderators please Niko chini ya miguu yenu naomba msiunganishe huu uzi na ule mwingine. Haya hayaa wale wenzangu na mimi wa mitaa ya Seoul (Seoul ya JF usiogope), ile siku iliyokuwa...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Wahenga wenzangu kipindi cha nyuma kulikua na dawa ya kikohoo iliyokuwa inaitwa MKOJO WA PUNDA,Hivi KWELI ile dawa ilitenenezwa kwa mkojo wa punda au zunga..?
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari wandugu, radio yangu inaishia 90MHz. Nafanyaje niweze kusililiza stations kama choice FM ambazo ni 102.5? Asanteni in advance,
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenye Movie ya kozopata ya Wastara na Sajuki anitumie link yake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Movie ishatoka jana na iko YouTube tayari.nawapongeza Sana bongohoodz pichaz wanatoa movie Kali sana.wahuni wakubwa niliikubali Sana na hii ya siku za arosto kweli one kacheza inavyotakiwa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Historia huwa inajirudia: Mechi ya kwanza: Nigeria 2 Taifa Stars 1 Mechi ya pili: Misri 2 Taifa Stars 1 Mechi ya Tatu: Ivory Coast 0 Taifa Stars 0 Pia tukumbuke kipindi hiko ndio tuliwahi kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom