Kuanzia Sultan, njoo Jamai Raja, na zingine kedekede aisee hao wanaotafsiri duuuu wapo vizuri sana.
Kama wangeweza ku act hvyo sambamba na maneno yao kama hayo wanaotafsiri nadhani filamu za...
Naombeni jamani mwenye movie hii ya kikenya inayoitwa "rafiki". Naona imepata promo sana I wish nami niione hivyo mwenye link ya kudownload au njia yoyote naomba.
Asanteni
Hawa jamaa nilianza kuwasikia first kwenye ngoma yao inaitwa carola ila kama sikuwaelewa hivi. Ila hii ngoma yao ya passenger, kwakweli imenibamba, hususan pale mwisho jamaa...
Katika vitu vichache ambavyo mtu huenjoy sana katika nyakati mbalimbali kama wakati wa furaha, mapumziko,huzuni,mawazo na kadhalika; mziki umechukua nafasi kubwa sana katika maisha ya binadamu...
Kuna baadhi ya nyimbo za TOT band ambazo zilikuwa kwenye album yao ya kwanza na ya pili ambazo nimekuwa nikizitafuta kwa muda mrefu sana.Nafikiri ndani ya JF haliharibiki neno na nina imani...
Habar waungwana....!
Nayakumbuka baadhi ya maneno yake" Costa wangau baba, unihurumie,.....kama ni watoto fika kwangu Costa, utawaona utawaona, na sasa nilikalaga na wewe bila ya kuleta ma..." Ni...
Nimetokea kumhusudu huyu mrembo.
sipatii picha mauno yake kitandani...nimeicheza hii vidieo mara zote kisa huyu mrembo
Anayejua jina lake na adress tujuzane.
Nadhani mnaona timu yetu na yenu inavyofanya tuache maneno mtaani na mtandaoni kwa sasa umefika wakati wa Man u isitulete hadithi za esopo,ekaya za abuasi,karume alikataa kwenda shule...
Yaani ukiachana na pesa basi kitu kinachofuata kukipenda ni muziki wa dansi. Leo nimekuletea wimbo mpya kabisa wa fundi Fally Ipupa aliotoa mwaka huu 2018. Katika wimbo huu linapigwa sebene lile...
Kundi na couple maarafu East Africa Navy Kenzo baada ya kimya kirefu wakilea mtoto wao wamerudi na kutoa ngoma Kali wakimshirikisha mkali Diamond platnumz
Enjoy
Una huu mstari
Ni buzz 2 double 7 six nine zero .... wananiita Solo thang aka "Non Reachable"
Mistari mingine hii :
piga namba hii popote uliza Solo
Ila kama kimeo usipige, kwani mgogoro
Hata...
Hello friends, I am a Tanzanian poet. My poetry book is now published in AMAZON so as everyone of you can get it easily by online purchase.
Don't worry because the price of the book is low, fair...
Ni kijana kutoka Geita mwenye makazi yake yake Mwanza ni msanii underground anaefanya vyema ndio anachipukia hivyoo ,video yake mpya hii kajitahidi sana kuanzia nyimbo hadi video nimeweka kipande...
Nick Conrad - Pendez les blancs
French rap video calling for 'whites babies' to be killed and their parents HANGED
A French rapper has caused outrage by calling for white babies to be killed in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.