https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=177707&d=1408090155
Mashairi:-
Vuma
We mama mkaa ndanii, Toka nje usikiee,
Kutwa we kila siku ndanii, Toka basi usikiee.
kuna habari...
1.move bitch - Ludacris, mistycal an 20
2.all of above - Maino f. T Pain
3.in da club - 50 cent
4.make it clap - busta rymes f. Flip mob squad
5.back up - been man
6.fiesta-R.kelly...
Ilikuwa Majira ya saa nane alfajiri wakati nilipopigiwa simu na mkuu wangu wa kazi inspekta Haruni Majimoto,ndo Kwanza Usingizi Ulikuwa Umeanza Kunoga wakati mke wangu aliponiamsha,Japhet,Japhet...
Habari wana jamvi. Natafuta nyimbo za mwanamziki Caz T aka mwana wa komba. Ki ukweli nimezimiss sana hizo nyimbo. Yeyote mwenye taarifa mahali zinapatikana tafadhari anisaidie. Naomba ukijibu...
Kiukweli vijana wetu wameishiwa ubunifu kiasi cha kutia mashaka makubwa sana.Elimu yetu imetujenga kutokuwa wabunifu.Ni masikitiko makubwa kabisa kuona mitoto hii inaiga kila kitu toka west...
Kabla ya ujio wa hawa jamaa, ilikuwa kila mwenye uwezo na kipaji lazima atasikika na kutusua. Yaani msanii akiwa na uwezo lazima atapenya tu, Redio zote zilikuwa zikitenda haki.
Sasa ujio wa hawa...
Ni hivi Clouds fm ni redio nzuri tu na mimi naisikiliza sana na Lady Jay dee ni mwanamuziki mzuri na anafanya muziki mzuri tu kwa hiyo natamani sana nisikie muziki wa Lady Jay dee katika Clouds...
Aina hii ya filamu zinaonyweshwa ndani ya ukumbi maalumu wa sinema, ambapo watazamaji wanakaa kwenye viti vinavyotikisika kutegemea mlio wa kitu kinachoonekana kwenye screen,mfano mlio wa risasi...
Mapanki...tunakuja February 7, 2015.
Usishangae kwa nini tamthilia itakuwa na urefu wa kama dakika 10 tu hivi.
Kwa nini tumeamua tamthilia ya Mapanki iwe na urefu wa dakika 10 badala ya...
Sina uhakika lakini haya ni baadhi ya maneno
Wazazi, wazazi nakonda na...................
Mnanilazimisha kuolewa na mimi bado ni mdogo...
miaka kumi na..............
Chorus
Samahani, samahani...
Sitanii huyu mdada ananikuna mno kwa umahiri wake katika muziki (sio fleva). Ni muda mrefu sasa sijamsikia na bahati mbaya si kipenzi cha waandishi wa habari za burudani hivo hasikiki kabisa...
BADO HAUJATOKA OFFICIAL ILA HUMU KAWASHIRIKISHA KINA ROGAROGA,LOFOMBO,SAMITSHITU,MA NDACHANT.
KIBAO KIMEREKODIWA NAIROBI AMBAKO NDIKO ALIKOFANYA MAKAZI YAKE KWA SASA..
KULA VITU
Guys i need ur help natafuta link ambayo unaweza kuangalia latest movies online tu na sio kudowload ya kwenye simu kutoa youtube coz inaonyesha za mda pls kama mtu anajua bas accoment hapa au ani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.