Huu ni wimbo ulioimbwa na Mwanamuziki wa Africa ya Kusini Mwanamama Yvonne Chakachaka moja ya nyimbo bora dunian na zenye maudhui ya kuiambia dunia kuhusu upendo.
Huu wimbo uliimbwa na Mwafrika...
Ni kwa miaka mitatu sasa bodi ya filamu nchini Tanzania imekuwa ikiandaa tamasha la filamu nchini. Na kila mwaka kumekuwa na maneno ya kukatisha tamaa kwa waandaaji filamu nchini kutokana na hisia...
Habari wakuu, tunahitaji mpiga bass guitar wa kila Jumapili kwenye ibada kanisani, muda kuanzia saa tatu mpaka saa tano na nusu. Masaa mawili na nusu kila Jumapili, kwa bei ya 15000/= kila...
SITASAHAU NILIVYOPATA UMAARUFU BAADA YA KULALA NA MAITI MOCHWARI LAKINI BAADAE YALIYONITOKEA SIKUTEGEMEA~01
Ni miaka mitano imepita[emoji800]tangu nilipokuja Dar es salaam kutafuta maisha haikua...
Kama kawaida, siku hii muda huu huwa ni muda wa Manju wa muziki, Masoud Masoud. Uzuri wa kipindi hiki ni mchangamano wa Muziki na historia.
Leo ni special kwa ajili ya christmas na nyimbo zake...
Habari wanajamii,napenda kuuliza maswali yafuatayo; Kila Mbongo wa Extra Musica yu wapi sasa bend hyo maendeleo yake yakoje na huyu Ramatoulay ndio yule aliyeimba ule wimbo wa alaj maana majina...
Kwanza kabisa Wife nisamehe kama utasoma uzi huu.....lakini pia nisifie kama utasoma uzi huu.....
Nilikuwa najichukulia dhaifu(according to kamwili kangu,...na vile sina ka ist...)kumbe kuna...
Kama hujaicheki itafute kisa chake kina husu mdada mmoja hivi ambae alikuwa akizinguana na mumewe na kupelekea kupata msongo wa mawazo sana na pia bi dada alikuwa ni mwalimu wa chekechea sasa...
Tafuteni Movie Moja Inaitwa FAR FROM HOME ni Wanigeria walioigiza. Yaani Movie imefanana na zile Movie za Kimarekani Kabisa asilimia 100 mpaka wamewazidi, sijui hapa kwetu tunafeli wapi...
Bongo star search (BSS) kimekosa mvuto na sijui hao wakina Master Jay na Salama jabiri wanatafuta vipaji vya namna gani??
Kama ningepewa nafasi ya kupendekeza Basi @NALIANGWENA ningependekeza...
Wanabodi,
Niko kwenye dala dala naelekea viwanja vya Mnazi Mmoja kusafishia macho siku ya "Wanawake Duniani", dereva kaweka Radio One Stereo, kipindi cha Mtaa wa Mangoma kinachopiga nyimbo za Old...
SEHEMU YA KWANZA.(utangulizi)
Sam, saam , samsoniii, huko unakoenda hakikisha unakula huko huko, maana huwezi kunisumbua kila siku , kwanini husikii weee mtoto Sasa nikwambie tu kuwa leo hakuna...
Nimehudhuria sherehe ya maadhimisho ya miaka 3 ya The Legend, DJ JD John Dilinga Matlou hapa Isumba Lodge.
Sherehe zilifana sana, zilitaka kuingia dosari pale JD alipotangaza pia tunasherehekea...
Katika kikao kilichofanyika huko Jijini Accra, Nchini Ghana, kilichoandaliwa na wasanii wa Afro beat kutokea Nchini gani, kimezua taharuki baada ya wasanii hao kuchachamaa na kutaka Sehemu zote za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.