Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kwa watumiaji wa spotify tunaweza ona wrapped yako! Kwangu nimesikiliza artists 2,097 Top Five Artist 1. Taylor Swift 2. Alikiba 3. Miley Cyrus 4. Kygo 5. Leona lewis Top songs 1. Cruel Summer...
4 Reactions
2 Replies
331 Views
  • Poll Poll
Kwenye muziki wa kisasa wa Rhumba hasa kutoka DRC Kuna wanamuziki wawili wanaoshindana kwa ukaribu sana. Je nani kati Yao ni mkali kwa mtazamo wako kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola? Hapa...
9 Reactions
122 Replies
6K Views
Ni kweli Jamii imejaa sana ujinga that’s the reason why he’s not famous. Edger Vicent Mwaipeta (born February 17, 1993), known to one and all as Dizasta Vina, is a hip-hop musician from Mbeya...
22 Reactions
287 Replies
20K Views
Nyimbo za aina hii hua zina muda wake wa kusikiliza.. Wengne husikiliza wakiwa na mood fulani, wengine huskiliza pale wanapoamua kulala n.k mimi binafsi playlist yangu ni ndefu sana ila nitataja...
21 Reactions
584 Replies
41K Views
Mambo hayajaenda sawa kwenye kiwanda cha Tamthilia Nchini baada ya kushindwa kutamba kwenye utoaji Tuzo za Tamthilia na Filamu za AMVCA ambapo Tamthilia maarufu na pendwa ya Huba imeshindwa...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
“Wanafki nafki watu wa kupakazia Yasowahusu wao kuingilia Maneno yao ni kama ya simba Ukiyasikiliza lazima utaaminia” Mandojo & Domokaya ft Jide “Hakuonekana na Binti hakuwahi kuasi dini mfuasi...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Linapokuja suala la vipindi vya kusisimua vya televisheni, ni series chache tu zilizowahi kuacha athari kubwa kama series ya Breaking Bad. Series iliyobuniwa na director Vince Gilligan, hii ni...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Wanajamvi natumai nyote ni wazima wa Afya. Ningependa tujumuike katika Uzi huu, kutaja ni Sinema ipi ambayo umeshaiona zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka. Mimi binafsi movie ambayo huwa...
32 Reactions
1K Replies
143K Views
Wajuzi wa muziki eti ni kipi hasa chanzo kilichosababisha mfalme wa Rhymes Afande Sele kuimba nyimbo kali ya mkuki moyoni?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Zawadi ya maneno matamu. Maalumu kwa ajili ya mwanamke bora asilia wa Kiafrika "Mama Africa", ujumbe maalumu kwenda kwa mwanamke asilia wa kiafrika, mwenye tabasamu angavu, uso wenye nuru, sauti...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Unaweza kusoma bure hadithi hii na nyingine nyingi ndani ya maktaba app(by pictuss). unaweza tembelea hii thread kwa habari zaidi...
12 Reactions
43 Replies
20K Views
Habari zenu wadau wa michezo hapa jamvini. Kama kawaida ni wiki ya kushuhudia CAF CHAMPIONS LEAGUE game za pili kwa makundi na timu zote. Kutokana na hali hiyo, kuna game 1 tu kati ya game zote...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Mwanamziki wa kizazi kipya na mkurugenzi wa Konde gang Hamornize ameeleza mazito yaliyomfanya aondoke Wasafi ya Diamond Platinumuz. Hamornize amesema ili kuondoka wasafi label ilimlazimu kulipa...
14 Reactions
38 Replies
5K Views
KESI YA MZEE MNYOKA 01 Mzee Mnyoka alikua na kawaida ya kuchelewa kurudi nyumbani kwake, Mzee Mnyoka hakua mlevi au mchawi lakini tuseme tu hakua na mazoea ya kurudi nyumbani mapema. Siku ya...
20 Reactions
231 Replies
32K Views
Binafsi naupongeza uongozi wa TBC Fm kwa kutaka kubalisha vipindi vya Redio vitakavyovutia wasilizaji wapya, hasa ukichukulia TBC Fm inawasikiliza wa rika lolote lakini vijana ndio wanasikiliza...
0 Reactions
3 Replies
671 Views
Dstv ukiachana na EPL na Champions league matches hawana cha kuoffer kwa fans wake imagine CAF Champions league hawataonyesha games zao AZAM akipata tender ya kuonesha EPL na Champions league...
16 Reactions
95 Replies
7K Views
Nimezunguka sana jamiiforums, reddit, yts, n.k. katika kusaka muvi kali za kucheku lakini nikaja gundua watu tumetofautiana vionjo, ushauri wa muviz upo juu juu haujaingia kwa ndani kugusa vionjo...
3 Reactions
4 Replies
565 Views
Gazeti la The Post linaripoti kwamba kamouni ya Paramount imefuta mnada wa kuiuza BET, kwa maelezo kuwa wamesikitishwa na ofa ndogo walizopokea kutoka kwa wazabuni. Bei iliyowekwa na Paramount...
3 Reactions
5 Replies
818 Views
Jamani mwenye wimbo fulani hivi unapigwa Clouds Fm unasema "nitakutumikiaa! nathibitisha kwa juhudi na nia. Kama ilivyo leo nitajaribu tena kesho nitakutumikia". Wimbo huu unanivuta kihisia sana...
4 Reactions
8 Replies
6K Views
MKASA WA KWELI KAZI YA KULINDA MAITI MOCHWARI ILIVYONISHINDA MWANDISHI: ZUBERI MARUMA Whatsupp: 0759427653 i Jina langu naitwa Joseph Matombeko ,mzaliwa wa Nairobi nchini Kenya naishi na...
25 Reactions
324 Replies
77K Views
Back
Top Bottom