Wapenzi wa simulizi, hii ni Simulizi iliyotoka mwaka 1886 huko Urusi iliyotungwa na Nguli wa Fasihi, Leo Tolstoy. Mwanafasihi huyu ameandika Riwaya na Hadithi fupi fupi nyingi sana. Riwaya zake...
[Verse 1]
In the sunshine, we're feelin' irie (irie, irie)
With the rhythm, we're catchin' the vibe (vibe, vibe)
Breezy melodies, takin' us higher (higher, higher)
In this reggae groove, we gonna...
Katika maisha kila mtu anakuwa na matukio ambayo siyo rahisi kuyasahau hata akumbwe na changamoto ya namna gani.
Leo na mimi nimeamua ku share na nyinyi Wana JF tukio hili ambalo sio la kutisha...
Juzi nilikuwa napitapita Insta kweny page za entertainment za Nigeria, aisee jamaa wanasema sana, wanamsimanga hadi nilijisikia vibaya.
Mimi sio kwamba mshabiki sana wa diamond, ila nikiona...
Nitaweka hapa hadithi zote, kutoka vitabu vyote(vinne ) vya Alfu lela ulela. Fuatana nami kwenye safari hii ndefu. Pia vyote unaweza kuvisoma bure ndani ya maktaba app.
Tuanze na kitabu cha nne...
DR. MARCO MKALI, MARCO CHIZI KIDOGO
Alipita Metro studio, Serious Records, Kama kawa Records mpaka alipotuliza majeshi MJ RECORDS na kufanya kazi na mkubwa Master Jay huku pia akiwavuta wadogo...
Movie inaanza Sunil Shet anaishi na mama yake hawana pesa ikabidi Sunil Shet amuage mama yake, kisha akaenda kumuaga girlfriend wake ambaye kwao ni matajiri.
Baada ya miaka kadhaa wazazi wa demu...
Wakati ambapo nyimbo ni sehemu muhimu kwa wapenzi wengi kunogesha mapenzi na hata kuwa kumbukumbu ya happy moment wakati wa nyuma katika mapenzi.
Upo ukweli mwingine usioepukika katika visa vya...
Habari wanajamvi
Leo nimekaa tu nikaanza kutafakari mengi likanijia wazo nije umu tushare wanajamvi
Ni wimbo gani ambao ww hupenda kusikiliza ukiwa katika mapito yako
Mm ziko nyingi mno ila...
TAMAA YA UTAJIRI ILIVYONIPONZA
Akiwa ni kijana bado Nico anaamua kuanza maisha mapya na mpenzi wake aliyempenda sana. Mpenzi wake anaitwa Anna. Nico ni kijana anayeishi kijijini mpambanaji...
Katika usiku wa SWAHILI NIGHT iliyoandaliwa na lebo namba moja ya muziki nchini Tanzania; tarehe 17 november, wamemkaribisha msanii ambaye atakuwa chini ya Lebo hiyo ajulikanaye kwa jina maatufu...
MKE WA PILI [emoji120][emoji3590]
MTUNZI: PATRICIA ANTONY
SEHEMU YA: 01
WHATSAPP: 0676604830
KAWAIDA: 0783642467
ANZA NAYO.........
Siku ya ijuma ya tarehe 22/08...... ilikuwa siku ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.