Tangu alhamis ccm ilitangaza kuwa mkuu wa serikali ya kishkaji atakuwepo Arusha leo jumamos kwa ajili ya kuwapa watoto chanjo ya polio na surua Mara ghafla jana kuanzia saa sita tangazo likageuzwa...
WanaJF,
Kumbukumbu zangu zinaniambia kuwa mabasi haya yalisimamishwa na SUMATRA kufanya shughuli zake njia ya Dar - Mbeya, sasa na hii ajali ya hili basi jana kugongana na Prado maeneo ya Al...
Nina rafiki yangu ambae ndugu yake alivamiwa na majambazi na kujeruhiwa mkono. Bei ya out patient pale MOI imemkatisha tamaa kiasi kwamba inabidi akatafute huduma pengine. Bei aliyopewa MOI ni...
Tayari mambo yamechafuka katika chuo kikuu cha Dar es salaam na mpaka muda huu vijana wako Revolution square na wametangaza mgomo kwa kile wanachodai ni kwa mwaka wa kwanza kunyimwa mikopo, sasa...
Jana na leo kulikuwa na mgomo wa wafanyakazi wa chini ya ardhi katika mgodi wa Barrick Bulyanhulu. Chanzo cha mgomo ni wafanyakazi hao kutaka kuongea na meneja mgodi Bwana Denis Hoof ili wamueleze...
Baada ya kuiona hali halisi ya jiji la Mbeya ambapo wamachinga wamekwaruzana na polisi kwa muda wa masaa 10 tumejifunza kwamba wananchi wakiamua hakuna awezaye kuwazuia.
Vurugu za Mbeya...
Jeshi la polisi limejidhihilisha kuwa hawako kuwalinda raia bali kuwanyanyasa raia.Kwa kuwa njia halali za kuwafikishia ujumbe kuwa wanachokifanya hakikubaliki zimeshindikana,mi naona wanataka...
1. Kwamba alichukuliwa kuwasaidia Wamarekani na akauwawa kwenye uwanja wa mapambano nchi za Arabuni
2. Kwamba alirudi Tanzania na akafariki katika Hospitali ya Lugalo baada ya kuugua
leo ni siku ya kwanza ya chanjo ya kitaifa ya surua,watumishi wa afya hasa wauguzi jana walipewa semina elekezi ya siku moja. Malipo ya semina hiyo hapa Mwanza waliambiwa ni sh.15,000 tu! Nayo...
Dunia nzima katika karne hii haki za binadam na Demokrasia ni utamaduni ambao haupingwi bali kusisitizwa hili kuleta amani na maendeleo.
Haki za binadam na Demokrasia katika jamii vinasimamia...
Watanzania wenye asili ya asia jijini mwanza walikataa kuwapeleka watoto wao kuchoma sindano ya polio kwa sababu zisizofahamika!! Nikajiuliza inawezekana zina madhara kwa watoto wetu au wao ndo...
Mimi ni medical assistant hapa Mbeya, na leo nilienda hospitali ya rufaa kukutana na Drambaye ni rafiki yangu na alikuwa sehemu ya huduma ya haraka "casuality".
Nilipokuwa pale aliipokea miili...
Campus night 2011 at leaders club,its wonderfull..never seen before,U can follow online now live through the following link.
CAMPUS NIGHT 2011 on USTREAM: Campus is the Mega event for Students of...
Tangu siku ile ya hafla ya Prince Charles pale ikulu, nilianza kujihoji uhalali uhalali wa kodi yangu kuiendesha TBC1. Ila leo uzalendo basi tena hata kama ni hiyo kodi yangu waendelee kula tu...
MATOKEO ya uchaguzi wa udiwani wa kata ya Kijitonyama, Kinondoni jijini Dar es Salaam yaliyomtangaza mgombea Uloleulole Athumani wa CHADEMA kuwa ni mshindi, yamebatilishwa na Mahakama ya Hakimu...
nauliza kuhusu ile interview ambayo ilikua kama kongamano la wenye degree na wasio na kazi, lililofanyika tarehe 7 mwezi huu, pale kurasini. Hawa jamaa hawajaanza kuita?
Nionavyo mimi kumbe hata serikali ya tz nayo kwa namna moja au nyengine inaunga mkona ushoga kutokana na hilii.........
- kwa nini tz ikiwa ni miongoni mwa waasisi wa jumuia ya africa ya mashariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.