Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nimefuatili leo taarifa ya habari ya chanel ten ya saa 1 jioni nikitegemea kupata habari motomoto za matukio ya leo. Jamaa katangaza habari ya vurugu Mbeya utafikiri yuko chooni, habari kavu kavu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naangali Supersport 3 kunatakiwa kuwe na live match kati ya Gabon na Brazil, kituko kimetokea just before kick off umeme umekatika na President ndo mgeni rasmi, ni aibu tupu yaani mpaka sasa mechi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ajali imetokea eneo la Makunganya,Morogoro lilkilihusisha basi la MASTER CITY lilikuwa likitokea Dar kuelekea Mwanza.Ajali hiyo ilitokea baada ya basi kugonga lori na inasadikika ilitokea kutokana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mlima Kilimanjaro? Ndiyo! Lakini kupitia kampuni ya serikali iliyo binafsi na kuitangaza ati tuma ujumbe kupitia airtel siyo sahihi kabisa tena inatakiwa akareverse lile tangazo1 Kwanza, Sheria ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wakuu mimi nipo maeneo ya msewe, lakini muda wa dakika tano zilizo pita nimesikia milio ya mabomu na risasi maeneo ya ubungo au chuo kikuu cha dar es salaam, kama kuna mtu yupo kwenye eneo la...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
The photograph of the royals re-enacting colonial nostalgia in Africa evokes the archaic nature of British identity Jonathan Jones guardian.co.uk, Friday 11 November 2011 10.08 EST Article...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wafanyakazi wengi wa ofisini hasa wale wa Posta wameshazoea kuomba msamaha kila asubuhi wafikapo ofisini kutokana na foleni barabarani. Foleni hizi,hasa, husababishwa na wanene wa Taifa ambao kila...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mwana nimerudi kundini naombeni mnipokee mpaka nahisi forum inaniogopa
0 Reactions
1 Replies
973 Views
Hata scrapper ni poa, basi chukueni na hili. Wafungwa wanaofika magereza kwa siku ni zaidi ya mia moja, watatosha kwenye kagari haka jamani? Why Arusha and not Dar Es Salaam? Au wametayarishiwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJF wale watakaofanya jambo au tukio muhimu la kuweka kumbukumbu kama harusi, kuoa au kuolewa,kupata mtoto, atakaepata mchumba, kuachwa au kuacha...matukio yoote ya furaha na huzuni wasiache...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Siku ambayo JK anakuja Arusha wana CHADEMA waandae mabango ya kutosha na kwenda uwanjani kama kawaida,JK akiingia tu uwanjani anakutana na mabango na baadae watu wanatoka mmoja mmoja kama...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jaji Mkuu wa Tanzania Chande Othman ni miongoni mwa waliotajwa kurithi nafasi ya mwendesha mashitaka mkuu wa mahakama ya makosa ya uhalifu Moreno Ocampo. Kitendo cha Serikali kujifanya kinyonga...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimefuatilia kwa muda sasa na ninaona dhahiri jambo moja, Kikwete umeshindwa kazi, achia ngazi. Kwa maneno mengino ccm ushindi wenu wa kuchakachua umekuwa anguko lenu. Leo hii peke yake...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Nimeona tushirikiane ujumbe wa tarehe ya leo wenye maana ya kusisimama kwa miguu yako miwili ili hii tarehe iwe chachu ya wote kusimama na kupinga udhalimu na unyonyaji ndani ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni kati ya polisi na wafugaji wa kimasai walionyang'anywa maeneo yao ya kuchungia na kupewa mwekezaji wa kichagga.
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Basi la Master City limedondoka eneo la makunganya,Morogoro baada ya kugonga lori na kuua kondakta papo hapo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau: Naomba msaada kidogo wa real experience ya watu kuhusu hiyo mada hapo juu.Im a businessman,ila nataka ku-expand into a very new business venture....kufungua a street corner sneakers...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ofisi ya mkurugenzi wa manispaa ya singida imegeuka kuwa uwanja wa ngumi tangu jana, baada ya leo asubuhi kuanza tena ngumi. Jana ilikuwa diwani wa kata ya unyambwa mh. Shaaban satu dhidi ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
jamani coet hakufai ni mabomu mpaka madarasani utafikiri polisi wanapambana na wahalifu duh hii nchi .....
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kumbe enzi za nyuma inasadikika mfalme alioa binti kibonge wakati wa picha kumbeba ikawa kazi kubwa ya kuchosha na ya nguvu sasa hawa jamaa wakaanzisha mfumo maalum kwamba wadada wawe vipotable...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom