Majira ya saa nne asubuhi leo Polisi wamefanikiwa kuwaua majambazi watano ambao walivamia duka la hardware kwa ajili ya kufanya uporaji!
Ilikuwa hivi..Polisi walikuwa na taarifa za uhalifu huo...
...Nimekua nikifuatilia kisemwacho na waTanzania wenzangu pamoja na viongozi wetu kuhusu kauli ya Uingereza kuwa ni sharti kukubali kuwatambua mashoga ama sivyo misaada wanayotupa wataiondoa...
Shock as engaged couple discover they are brother and sister just before wedding
An engaged couple who dated for five years have been left in turmoil after their families met and they discovered...
Wakuu,
wansi ageni katika pita pita zangu nimekutana na hii kali kweli jamani...mtoto
kazaliwa na mpini mgongoni!!!!...Jamani masikitiko.Ukitaka picha ifukuzie kwenye link ...
Tumebakiza nukta chache kutimiza miaka hamsini ya uhuru, ni safari ndefu sana,
Inasisimua, inashangaza, inachukiza pia inahuzunisha. Kabla sijasema kwanini naipongeza
CCM nataka nionyeshe kwanza...
Kama upo tayari kuipoteza mood tembelea kwenye hiyo wall ya rais Jakaya Kikwete kwenye facebook,leo amezungumzia suala la EPA,
Kamchina kangu hakawezi kuileta link hapa.
Hizi habari nimesoma somewhere kuwa kuna ajali imetoa Shinyanga maeneo ya Ibadakuli.
Kama kuna maelezo mazuri basi muweke. Nasikia kuwa ni Precision Air na watu kadhaa wamepoteza maisha.
Kama ni...
Rais wa JMT Mh. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa uwanja wa mpira ya Sheikh Karume tarehe 12/11/2011 kufungua kampeni ya Surua ikiwa ni takribani mwaka mmoja tangu aingie awamu ya pili. Hii itakuwa...
Katika kutekeleza kwa vitendo sera yake ya diplomasia ya uchumi serikali ya Tanzania imesema kuwa imewekeza kwenye majengo huko USA ambapo kwa sasa majengo hayo yanapangishwa na serikali inapata...
Kweli ukoloni bado upo ingawa uko kwa sura nyingine. Kwa sababu ya misaada tu Uingereza inazitaka nchi zinakula pesa zake ikiwemo Tanzani ikubali usenge na usagaji? Heko serikali ya Tanzania kwa...
KAMATI ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imebaini ufisadi mwingine wa mabilioni ya fedha kwenye marejesho ya zile zilizochotwa awali kifisadi katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).Fedha hizo...
NA SHAABAN MDOE. ARUSHA
NJAMA za mbunge wa Arusha Mjini Gogbless Lema (CHADEMA) kushinikiza mgomo wa daladala na pikipiki , ikiwa ni ishara ya kupinga kuwekwa rumande, zimegonga mwamba , baada...
Kubali usikukubali! Kuku mwenye awamu 3 akiwa anatotoa vifaranga yake,lakini awamu hii ya nne akawatelekeza vifaranga wake na kuanza kuwa Jogoo na kuanza kuwika. Ni kuku wa mfugaji mkongwe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.