aAnother one gone..sasa kabaki Mugabe nae ndo hivyo uzee unamkaba! kiongozi ambaye anaweza akasimama na akatetea Africa na watu wakamuelewa..waliobaki sasa ndio hao tukiletewa vyandarua tu watu...
ASKARI wa FFU wamesalimu amri dhidi ya vijana wa kibarbaig wilaya ya Hanan'g mkoani Manyara na kuomba msaada wa askari wengine kutoka mjini Babati kufuatia maofisa waliopelekwa kupima ardhi...
Samahani wakuu, kwa wale ambao mko na access ya gazeti la Al-Noor litokalo kila Ijumaa naomba mtujuze kama limeandika chochote kufuatia kifo cha Muamar Gaddafi, na kama wameandika wameonyesha...
Jamani kwa kweli uvumilivu umetushinda huku mtaani...kwa wakazi tunaoishi Victoria , Uporoto street, imekuwa kero kubwa kutoka kwa waliopewa jukumu la kutengeneza barabara za manispaa ya kinondoni...
More than half of women are attracted to other women - and it gets more pronounced as they get older
Most women are naturally bi-curious when it comes to sex, a new report has discovered...
Jamani kwa kweli uvumilivu umetushinda huku mtaani...kwa wakazi tunaoishi Victoria ,Uporoto street ,imekuwa kero kubwa kutoka kwa waliopewa jukumu la kutengeneza barabara za manispaa ya kinondoni...
Kwakua mhimbili unv walikupa,udom walikugawia na nairobi walikupatia!ungefanya jambo la maana kama ungeikataa hii PhD MR MSOGA.
Halafu wasomi wa udsm wangejaribu kuangalia nani wa kumpa shahada...
WAUMINI wa dini ya Kiislamu mkoani Dodoma, wamewataka Watanzania kupuuza uvumi kuhusu mgogoro wa Libya, badala yake, wametaka kuungana na kumuombea kiongozi huyo adumu madarakani.
Wito huo...
Salaam wenzangu , jamani naomba kujua hivi ile kesi ya matumiza mabaya ya madaraka iiliyokuwa ikimuhusu mhe Basil pesambili Mramba, DR Yona na yule katibu mkuu mstaafu wa...
Wanajamvi leo nimefuata ushauri wenu,nikapanda Hood kutoka Morogoro kwenda Arusha!
Safari ilikuwa haina shida mpaka kufika kati ya Hedaru na Same!!Tukasikia mlio wa ajabu,hapa sidhani kama dereva...
Naamini maendeleo ya dhati ya Tanzania yataanzia pale katiba mpya itakapoanza kufanya kazi;
naamini mfumo wa majimbo ukikubaliwa mambo kama;
1.Umiliki wa vyanzo mbalimbali vya mapato utabaki...
Katika hali ya kutokuwa ya kawaida! Tangu leo asubuhi kuna makundi makubwa ya kabila la Maasai na hususan vijana wa kiume ktk umri tofauti na wakiwa wengi sana kwani huku kwe2 Sakina wamepita kama...
Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya CRDB Tully Mwambapa picha ya Mwalimu Julius Nyerere iliyonunuliwa na Benki hiyo kwa kiasi cha Sh.milioni 35,wakati wa chakula...
Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu na Mwenyekiti wa Kongamano, Benjamini Mkapa akichangia mada kwenye kongamano la kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere lililofanyika jijini Dar es Salaam...
WanaJF wenzangu naomba mnijuze nami nipate ufahamu, nataka nipate nakala ya WARAKA WA UTUMISHI WA UMMA latest version coz DHRO wetu anaubania na anatunyima haki zetu za msingi mfano kujiendeleza...
Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Monduli, Arusha, jana. Picha na Filbert Rweyemamu
Peter Saramba na Moses Mashalla, Monduli
WAZIRI Mkuu...
Mamia ya wanafunzi na wananchi katika Barabara ya Uhuru wakiwa hawajui la kufanya baada ya magari ya daladala kugoma.
Madereva wa dala dala na wapiga debe wakilizonga gari aina ya Hiace...
Wakuu, ITV wapo live kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya chuo kikuu cha dar es salaam, wageni mbali mbali naona wameshafika, na wengine wanaendelea kufika. Miongoni mwa waliofika ni, Rais Mstaafu wa...
Leo hii kumetokea ajali ya hiace eneo la njia panda Airport Arusha, chanzo cha ajali hiyo ni loli lililokuwa linaovertake kutaka kugongana uso kwa uso na hiace hiyo kisha dereva kulipeleka porini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.