Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Tufunge MMU.Ili watu wasipeleke stresi zao huko na,kuzipeleka sehemu zitakazo kujenga TAIFA. Michango inayotolewa MMU ni kura tosho kupata serikali yenye malengo na kura zakutosha kutoa magamba...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Huu msemo umekuwa kama ndio staili ya watawala wetu katika kuwalinda marafiki wao hasa pale wanatopotakiwa kuwajibishwa kisheria! kwani utawasikia ohoo! hatuwezi kukurupuka tu kuwakamata tuache...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Majambazi yamevamia Bureau ya Maxx mitaa ya Samora nakukomba pesa zote. Majambazi hayo yalifika eneo ya tukio na Noah na kuwapulizia dawa wateja, wafanyakazi na walinzi kisha kuanza kukusanya pesa...
1 Reactions
51 Replies
7K Views
Jana katika kipindi cha malumbano ya hoja ITV. Mjadala ulikua mzito sana na wakuvutia kutokana na kwamba takribani washiriki wote walijaribu kuonyesha hasira zao katika suala la TANESCO kuilipa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Sizzla - No White God - YouTube
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Ndugu wana Jf,naomba niwasilishe kilio cha wafanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Moshi Vijijini,wakiwemo walimu na manesi,na doctors,cha wao mpaka sasa hawajapata malipo yao ya mishahara ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cannabis compound 'eases nerve pain caused by cancer drugs' Cannabis can help ease the pain suffered by cancer patients after chemotherapy, say scientists. They found a chemical in the class B...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Nikiwa naangalia Kipindi cha Mzee wa Upako transfoma,Nyuma yake nikaona Picha Ya NYOTA RANGI YA BLUE,JUU NA CHINI KUKIWA NA mistari Mipana Tena Ya blue. Hizo alama Zinamanisha Nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani ni kwa nini Israel ilikataa kumpa Idd Amin ndege za kisasa (wakati ule) ili kuipiga Tanzania mwaka 1972? Na kwa nini walifunga Ubalozi Tanzania au tulivunja mahusiano ya kidiplomasia na hao...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Leo ile vita ya kisiwa cha migingo inahamia katika soka na mwamuzi ni dk 90! KCB1 yenye ukweli isiyo na umbumbumbu kama TBCccm inaonyesha Live:
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Jamani kuna yeyote mwenye taarifa za hali ya kiafya ya huyu mheshmiwa?? Kuna taarifa nazisikia hapa si njema!! Nataka kuzihakikisha
0 Reactions
9 Replies
1K Views
husika na heading hapo juu kwa niaba ya walimu wenzangu tulioajiriwa january mwaka huu tumedhulumiwa stahili zetu kwa hiyo naomba mwenye contact za waziri kivuli wa elimu au waziri kivuli wa kazi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana jamii Jana zilienea habari juu ya kufariki kwa waziri w maji Prof Mwandosya katika mikoa ya Mbeya na Dar es Salaam. hata hivyo baada ya kufuatilia niliweza kuongea na mtu wa kalibu naye...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Bus la kampuni ya Dar Express lilokuwa likitoka Dar kwenda Rombo,liliwaka moto maeneo ya Kabuku,kwa taharifa ni mtu mmoja ndio aliye jeruhiwa na kukimbizwa hospital,ambaye ni fundi wa basi...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Sasa hivi kama mtaenda hewani kwakufungulia TV yako channel ya Citizen basi ni live coverage ya safari ya mwisho kwa yule aliyekua mwanaharakati wa mazingira mama Wangari Maathai! RIP MAMA MAATHAI...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
LHRC Inawakaribisha wote j3 ya tarehe 10 octebr pale ubungo plaza
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Miaka 50 baada ya uhuru wa tanzania pamoja na harakati zinazofanywa na baadhi ya wazalendo bado wananchi zaidi ya %80 wakiendelea kuwa maskini huku wenye nchi wakizidi kujilimbikizia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nimejaribu kuingiza picha zinakataa, masharti waliyotoa kuhusu picha ni mengi mno. Anayejua atusaidie kutujuza!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mchechu acharuka amewafukuza habari maelezo kwa kuwatolea nje vitu vyao
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Mbali na kuuzwa kwa samaki hao wanaotokana na uvuvi haramu wa kutumia baruti, katika eneo la Zoni Namba Nane pia kunadaiwa kufanyika vitendo vingine vya uvunjaji wa sheria vikiwamo uuzaji wa dawa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom