Nimepokea kwa mshangao uteuzi wa wilaya tatu, Mkuranga, Rufiji na Kilombero kupewa kipaumbele na serikali ktk kudhalisha mpunga huku Kyela ikitupwa mbali. Sijajua vigezo vilivyotumika lakini kwa...
Shule hizi za serikali za Saint Kata zina madarasa mazuri kweli, hazina madawati, watoto wanadanganywa na portable desks. Vijibao vya mkononi vya kukandamizia.
Halafu tunaaambiwa maisha bora kwa...
Namsikia dogo Rithiwan ndani ya EA RADIO akihojiwa na zembwela anasema mzee wake amejenga msingi toka wao wakiwa wadogo kila mtu anatimiza wajibu wake ndiyo maana hata kwenye wizara akikosema mtu...
Ni muda umepita tangu uchaguzi wa igunga umalizike,kuna huyu jamaa anaeitwa mwigulu nchemba alikuwa anagawa hela siku ya uchaguzi,tulipo pewa habari tulianza safari ya kufuatilia kwenye kata ya...
Kama safari za nje ya nchi kwa Rais wa Nchi zingelikuwa na tija basi Rais Kikwete tangu aingie madarakani ameisha fanya safari takribani 337 kwa mujiubi wa Fr. sindhani...
Natangaza kujitolea kwa moyo wangu wote na kuweka maisha yangu kwenye mstari kwa kuwa kiongoza wa maandamano na mratibu wa maandamano hapa nchini tukianza na yale ya kupinga malipo ya...
Kylie Minogue Is Awarded Honorary Doctorate
Kylie Minogue swapped the glitz and glamour for a gown and cap as she took to the stage in Chelmsford to receive an honorary doctorate...
wapo wengi wanaojiuliza kwa nini nilifanyakazi miaka 30,najua hiyo ndio ilioandikwa kwako
leo naomba tuongee ukweli ajira ni laana na mtu anaetegemea mshara amelaaniwa.....
Kama uamini uliza wazee...
Middle East
Israeli scientist wins Nobel chemistry prize
An Israeli scientist who suffered years of ridicule and even lost a research post for claiming to have found an entirely new class...
wazee kuna siri gani hapa Tanzania naona wageni wanazidi kuwa wengi tu ukulinga nisha na miaka na nyuma .wageni namaanisha watua ambao sio watanzania. waejazana wanafanya madeal tofauti tofauti...
Wasambazaji sukari wambana Maghembe WASAMBAZAJI wakubwa wa sukari kutoka Kiwanda cha TPC mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kutazama upya agizo lake la kuzifutia leseni kampuni hizo kwani...
****in, I hate you TANESCO! Huu mchezo wa kukata na kuwasha umeme mara 20 kwa siku maana yake nini? Mmeshatutia hasara kutuunguzia vifaa na fidia hamtoi! Bora mkate siku nzima tu kama hamna...
Juzi nilinunua camera duka la TOP SHOP Kariakoo,wakanifungia bidhaa yangu kwenye mfuko wa plastic(Lambo) nikaanza kumtukana yule mhindi nikitaka anijuze sababu za kufunga bidhaa hiyo kwenye...
Transfoma ya Tanesco inayosupply umeme Tbc Bamaga hapa jijini Dar es Salaam yawaka moto na kusababisha tafrani kubwa.Source mwenyewe eneo la tukio pictures nitatuma pia video.
Taarifa kutoka Radio One,saa 7:00 mchana.
Waziri mkuu Mizengo Pinda,yupo ziarani nchini Brazili ambako amekutana na waziri wa nishati na madini wa nchi hiyo ili iwasaidie kuondokana na tatizo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.