Katika uchaguzi mdogo wa Diwani kata ya stendi kuu jimbo la Serengeti Chama cha demokrasia na maendeleo chadema kimeibuka kidedea baada ya kuwapiga chini wagombea wenzake wa CCM na CUF.
Zamani tulikuwa tunajua Ulaya na DSM kumepishana kidogo tu.
Tulikuwa tunajua Dsm hamna nyumba za bati, tulikuwa tunajua barabara zote lami, tulikuwa tunajua ukifika leo kesho unapata kazi nzuri...
Yeyote mwenye Taarifa tayar imeachiwa au bado?
Jana nimeona kuna jamaa kasema kuwa mpk sasa wafanyakaz hawajapata mishahara coz serikal inataka kukata 2,000 kwa kila m1 kwa ajil ya sherehe ya...
Nawauliza nyinyi mnaolipwa mshahara kwa kuangalia ubora wa viwango. hivi wenzetu huko majumbani hamuwashi moto..? hata taa ya kandiri hamuwashi na mgao huu......? je mkiwa...
Watanzania wenzangu pia wanaJF wenzangu nchi yetu ndio imebakia sehemu ya kufanyia majaribio kama sio majaribio sehemu ya kufanyia biashara.Mfumo huu tulioletewa tunadanganywa wa kidigitali kwa...
Kama vile sijaelewa vizuri hili Tangazo lililotoka kwenye mwananchi ya Leo J'pili (2-10-2011) kwamba kwa wale wananchi waliogawiwa viwanja mbalimbali katika maeneo tofauti ya manispaa za Temeke...
Prof. Baregu alinyimwa kazi udsm kisa kujipambanua kuwa ni kiongozi mwandamizi wa CHADEMA. lakini cha ajabu kuna wenyeviti CCM na madiwani wa CCM ni wafanyakazi wa vyuo vikuu vya umma. binafsi...
Habari za asubuhi wandugu!!!
Ni jambo jema kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona siku njema ya leo, kumbuka ni wengi waliotamani kuiona ila hawakuweza kutokana na sababu mbali mbali...
Je mimi...
Wakili wa siku nyingi mjini Iringa na ukanda wa juu kusini Mheshimiwa Mwakingwe alifariki dunia siku ya Jumanne week hili. Mungu amlaze mahari pema peponi, amina
jamani hili la matangazo ya airtel na mganga wa tiba asili badala ya KUTANGAZA JINSI YA KUJIOKOA,JINSI YA KUTUMIA MABOYA NA LIFE JACKETS wakati inapotokea dhoruba baharini limekaaje?au ndo mambo...
Nduguzanguni, nilikuwa na kiziara uchwala huko HANDENI, SIMANJIRO, SAME , MWANGA pia KARATU. Kwa kweli nimeshangaa sana kuona huko mgao haupo na kama kuna tatizo la umeme basi ni la kawaida tu na...
habari zenu wana jamvi, sasa hivi serikali iko mbioni kuandaa vitambulisho vya uraia. lkn cha kushangaza hawajasikiliza maoni ya watanzania ili kuona ni kipi hasa wangependa pia kiwepo kwenye ID...
Everything you ever wanted to know about animals but were too squeamish to ask
Slugs have four noses not so good when they catch a cold.
Its just possible that animals have better sex lives...
Wakati Tanganyika inapata uhuru wake wa awamu ya kwanza rais wa wakat huo alisema kuna maadui watatu ambao wanaisumbua Tanganyika,nao ni njaa,maradh na ujinga,,Katika kipindi hiki cha muda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.