Chama cha mapinduzi (ccm) kimechoma moto ofisi zao na nyumba ya kiongozi wa kata IGUNGA. Taarifa za ndani ya chama zimeeleza mpango wa kufanya kitendo hicho ni kuteka mawazo ya wananchi wajue...
Wakuu, napenda kumfahamu zaidi mtu huyu, nimeona habari na makala anazoandika katika gazeti la Majira; Mtazamo, uelekeo wake vinanifanya nihoji na kutaka kumfahamu zaidi!
Na Dismas Lyassa
HUWEZI kufanikiwa kama huthubutu kufanya mambo fulani. Kusoma sana au kidogo, kuwa na rafiki waliofanikiwa au wasiofanikiwa, kwenda nje ya nchi au la, au kuzaliwa familia maskini...
Nasikitishwa na unyanyasaji wa hii kampuni ya huduma kwa wateja inayofanya kazi zake na kampuni moja ya simu za mkononi maarufu hapa nchini, kinacho nikwaza ni mishahara midogo Tsh 150000/= kwa...
Leo nimebanwa na haja kubwa wakati naendelea na mizunguko yangu Posta. Nimehangaika lakini bila mafanikio kutafuta sehemu ya kukatia gogo. Yaani ilinibidi nitumie mfuko wa plastiki na kuhifadhi...
Be Proactive
create environment, choose response before problems start
Begin with the End in Mind
create cognitive mindset, what is the vision, what is the habit
Put First Things First...
Watu wangu wa Mwanza mambo vipi? Ilemela, Buzuruga, Mabatini, Buhangwa, Airport..!!!!
Baada ya kuingia tu jijini kitu cha kwanza nimeomba nipelekwe kwenye uli mti uliowahi kujadiliwa humu JF, mti...
NIUE TARATIBU, hivi kweli hawa WAAMERIKA wana huruma gani na sisi hadi watusaidie ktk kuutokomeza ugonjwa wa maralia..? kama kweli wan huruma mbona basi hawaaonei huruma WAPALESTINA ambao wanataka...
KIVUKO cha Kilombero licha ya kuwa ni kitovu cha maendeleo ya biashara na uchumi wa wilaya ya Ulanga, lakini bado kimetelekezwa katika kipindi cha miaka 50 tangu kupata Uhuru.Teknolojia ya pantoni...
WanaJF naomba mnisadia katika hili.
Hivi vyombo vyetu vya habari nashindwa kuvielewa sijui kwa sababu mapato yao madogo(Njaa) au ni kitu gani kinavisumbua. Mara zote nimekuwa nikifatilia...
Kwa mujibu wa Majimbo yao taarifa zilizopatikana ni kama ifuatavyo.
Jimbo la kojani-108
Jimbo la Ole-157
Jimbo la micheweni-88
Jimbo la Mgogoni-184
Jimbo la wete-149
Jimbo la Gando-418...
SERIKALI imetoa namba ya simu bure itakayotumika kutoa ripoti ya wahujumu wa sukari, namba hiyo ni 0754 38 79 28, ambayo* itakuwa wazi kupokea taarifa za walanguzi wa sukari.Pia imeahidi kutoa...
Hii nimekutana nayo FB ikanistua sana nimeona niilete hapa kwa great thinkers tuijadili na mwenye habari zaidi atupashe I
York David Drexell
ANGALIZO HATARI KWA WATANZANIA WOTE POPOTE PALE...
Naibu katibu mkuu wa zanzibar Ismail jussa Ladhu ameongoza timu ya mawaziri na wabunge wa CUF kuelekea Igunga kwa ajili kuongeza nguvu za kampeni za chama hicho, akiongea kaimu katibu mkuu Julius...
jamani hii ratiba ya kukatika kwa umeme mbona siielewi?manake umeme huku kwetu ulikatika asubuhi ukarudi saa moja usiku baada ya nusu saa ukakatika tena.mpaka sasa bado hatuna umeme siielewi...
#CGI2011 Breakout: Global Nutrition w/ Nicholas Kristof & President KikweteEvent is LIVE NOW!
Kwa wale watakao kuwa karibu na mitandao ya internet basi mnaweza kupata...
Niko ndani ya moja ya mabasi yaendayo Dar kutoka Mbeya mara basi linasimama na konda anawaambia abiria " jamani mkachimbe dawa , msichelewe ni kwa muda wa dakika tano tu" basi kila abiria anatoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.