Wapendwa wanajf.
Habari za mda huu. Nnaomba kwa yeyote anaefahamu anijuze.
Mimi natarajia kujiunga na chuo mwaka huu na nmepata mkopo kutoka bodi ya mkopo, kinachonisumbua ni hiki. (1)hizo fedha...
Dungu wanaJF,
Nimekuwa nikiwaza jinsi haya mataifa makubwa ya ulaya na Marekani yanavyoendesha siasa zake katika dunia hii.
Mataifa haya yanatumia njia mbalimbali ili kuweza kujipatia rasimali na...
Sat Sep 17, 2011 10:14am GMT
* Company to add extra 250 MW to grid
* Tanzania experiencing blackouts
By Fumbuka Ng'wanakilala
DAR ES SALAAM, Sept 17 (Reuters) - U.S. firm Symbion Power...
Wanajanvi wenzangu naomba kuuliza swali! Hivi tokea utawala wa raisi wa kwanza baba wa taifa Julius Nyerere halafu akafuatia mzee Ali Hassani Mwinyi awamu ya pili na baada ya hapo awamu ya tatu...
Leo nimeshtushwa na kauli ya wazir mkuu kuwa bei ya umeme lazima iongezeke. Nkafanya simple analysis kuwa, nishati (mafuta + umeme) juu + bei ya bidhaa na huduma juu = gharama kubwa za maisha...
Ukatili ni ukatili lakini mwingine umepitioliza.
Waarabu wenye asili ya Afrika wananyanyasika sana Uarabuni na wanaitwa Aswad, afadhali nchi za magharibi sasa zina heshimu utu wa mtu mweusi
Wananchi wamekosa huduma ya umeme wa uhakika, bila aibu Mh. Pinda anatangaza ongezeko la kupanda kwa bei.
Jamani kama sio wizi ni nini? Mtu uongezewe bei ya huduma ambayo huipati.
Kweli dunia...
Hili jeshi letu la polisi limepoteza maadili kabisa kwa sababu limesalimisha weledi na mamlaka yake kwa wanasiasa wa CCM. na mara nyingi linapofanya hivyo linajikuta linaaibika. Mfano ni issue ya...
Rafiki yangu katoka Switzerland jana na nimemsimulia yaliyojiri hapa kwetu.
Baada ya masikitiko akanieleza kuwa huko Switzerland walishangaa vitu vifuatavyo:
crew katika luninga walionekana...
Kajitathmini kagundua kuwa amejaa uovu na dhambi (ufisadi), kikaamua kuokoka (kujivua gamba). Katika mfano huu nichukulie gamba lililofanikiwa kutoka kama ulevi wa kileo cha valuu (Rostam).
Cha...
Gazeti la jana la Mwananchi la jana, liliripoti kuwa wiki ijayo kutakuwa na maandamano makubwa kukamilisha mpango wa kumuondoa Rais Mutharika madarakani kwa nguvu ya umma. Nafurahia hatua hii kwa...
Wana JF,
Naombeni mtupe kiapo cha DC/RC anacho toa pale Viwanja vya IKULU na baadae anaenda kutumikia wananchi
Kwa mtu yeyeyote ambe anajua atumwagie hapa tafadhalini
Ni muda wa miaka 16 watanzania tumeanza kudidimia kiukweli, mwanzo hatukuona ila madhara yameanza kuonekana kwa kipindi cha miaka sita iliyopita! kuna wakati najiuliza hivi sisi tulimkosea mungu...
Vikosi vya wazamiaji vilivyokuwa vikitafuta miili ya watu walionasa kwenye meli ya Mv Spice Islander wameondoka baada ya zoezi la kupata miili zaidi kushindikana. Hata hivyo wamesema watajadiliana...
Mimi ni mwenyeji wa kule maafa ya mv Bukoba yalipotoke na ni mpandaji wa vyombo vya usafiri ktk ziwa hili jema tulilojaliwa na Muumba.
Nasikitishwa na hali ya usalama wa vyombo vyetu hivi...
ILE PICHA INAYOONESHA KUWA NI PICHA YA MELI ILIYOZAMA KULE UNGUJA
KUMBE NI UWONGO.ILE NI PICHA YA MELI ILIYOZAMA HUKO UFILIPINO TAR
31/07/2011.KWA TAARIFA ZAIDI FUNGUA HII LINK HAPA CHINI...
Nimekuwa najiuliza walikopotelea wale wanaharakati wa kupinga serikali kurejeshewa malipo ya chenji ya Rada. Wanaharakati hawa na mafisadi wa uhuru na heshima ya nchi yetu kupanga matumizi ya...
Nhelea kusema kuwa nchi hii ni ya bahati mbaya, maombolezo na rambi rambi kwa maana ndiyo slaha ya viongozi wetu wazembe wanaposababisha mamia na mamia ya wadanganyika kupoteza maisha.Nashukuru...
:frown:Jamani leo saa 8.55 nimesikia tangazo kwenye radio ya TBC likisema kuenea kwa mobile phones ni moja ya mafanikio ya serkali ya ccm ktk miaka 50 ya uhuru!! Je hii ni kweli???
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.