Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Watching Hamza Kasongo hour! Mbatia anaichambua ilani ya kitapeli ya #MAGAMBA at CH10 TV...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
eti jama naombeni msaada hivi kirefu cha toyota vx na toyota v8 ni nini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nakumbuka kwa mara ya mwisho nlinunua sukari mwez june ikiwa ni tsh. 1800/= na baadh wakiuza kwa tsh. 1700/- lakini hv juz nimepigwa na butwaa baada ya kukuta bei imepanda hadi 2300/2400 tshs...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi karibuni nilipata malazi yaliyonifanya nimtafute daktari mtaalamu pale Agha Khan Hospital. Nilichoshangazwa nacho ni utaratibu mpya nilioukuta pale. Baada ya kupokelewa nilitia sahihi ktk...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya kubeba mimba kwa miezi 11, hatimae jana, mwanamke huyo mkazi wa mkoani Mara amejifungua jiwe. Anasema tumbo lilikuwa likimuuma sana na alifurahi kupata uchungu akitegemea kupata mtoto...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Mtanzania mwenetu amefariki huko hongkong jamani wenye mapenzi mema wa china na karibu saidieni jama a aje kupumzishwa kwenye nyumba ya milele
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu GT. Nmetumiwa sasa hivi taarifa na ndugu yangu amempata mchumba kupitia hii mitandao kua amesoma profile yake na amegundua ni mtu makini. Sasa kilichotokea huyo mchumba ni wakike...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni. Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, piga namba 0658 517...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gavana ataka benki zikopeshe wanafunzi Send to a friend Saturday, 03 September 2011 20:46 0digg Fredy Azzah GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Profesa Benno...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hatimaye serikali imeamua kumtimua mfanyabiashara anayejihusisha na biashara ya binadamu hapa nchini, mfanyabiashara huyo ambaye ni raia wa Pakistan anajulikana kwa jina la Altaf Hussein na pia ni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
nimesikia habari magazetini kupitia tbc1 kuwa nguruwe amezaliwa akiwa na kichwa cha binadamu..source habari leo
0 Reactions
41 Replies
9K Views
Tumekuwa bize na kulipigania taifa hili dhidi ya wakwasi lakini leo nahitaji kupumzika! Nitakuwa pembezoni mwa fukwe za jiji la Dar es Salaam ni kila bata Natoa nafasi kwa wanawake tu kujumuika...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
NEWS [We are] resolved to expedite the process of integration so that the ultimate goal of a Political Federation is achieved through a fast track mechanism" EAC Summit, Kampala 2002 By CHARLES...
0 Reactions
0 Replies
825 Views
nimekuwa mara kwa ma ra naona ushirikiano wa hawa jamaa wanaoendesha bodaboda pamoja na bajaji na nimekuwa najiuliza serikali na polisi wako wapi?hawalioni hili! wamejijenga na kuwa na umoja ambao...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Early registration for ACM 2011 starts on Sunday 04th Sept at around 1400hrs at Mlimani City Conference Centre.The meeting to start at 0730hrs on 5th Sept 2011
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Mimi sio mshabiki wa siasa asilani, na sijawahi kuwa na muumini mkubwa wa dini (sayansi iliniathiri toka niko mdogo), lakini Ma- great Thinkers mmenisikitisha kwa jinsi mnavyoshabikia hotuba ya...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Jiji la Tanga sasa linahitaji traffic lights ili kuepusha ajali katika barabara nyingi muhimu. mfano kwenye mkutano wa barabara ya kwenda tanfamano na mkwakwani,hostel ya...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Tarehe 1/4/2011 ofisa wa TRA Mbeya aitwaye Kasimba alikamata gari ya hakimu Nyasige likiwa na mwanamke aliyepewa rifti na hakimu huyo akiwa na vipodozi vya tshs 148,000/= hakimu huyo alikuwa na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
NIMESOMA BLOG MOJA HAWA WATU WANAJIITA SAIDIA SOMALIA NIMEBAHATIKA KUFANYA KAZI ZANGU NYINGI VIJIJINI WAPENDWA LABDA NISIENDE MBALI KUNA VIJIJI VIKO PEMBEN YA BAGAMOYO NA VINGINE NDANI YA...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom