Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
ndugu leo nilienda atm kuchukua salio, cha ajabu zikatoka noti za zamani mpyaaaa.... na namba zake kwa mpangilio. yaani mimi ndo nimezianzishia mzunguko.... nilishangaa kupata noti hizo. mi mawazo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naona sasa haka kamtindo kanakaribia magogoni kwa style hii hivi tanzania tumerizika na maisha tulionayo mbona wenzetu wanamaisha zaidi yetu lakini wanadai zaidi sie tumelogwa na bagamoyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wizi wa kimtandao. Muwe makini na simu zenu, jamaa wamehama kwenye intanet sasa wanakutumia sms kwenye simu yako direct. Imagine, unatumia simu ya Samsung, then unapokea msg umeshinda mahela ya Nokia!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wadau Idd Mubbarak! Baada ya Bosi wangu yule Mchina kushindwa kutulipa kamshahara ketu ile jana kwa sababu alizodai ziko nje ya uwezo wake. Leo hii majira ya saa 4:30 hivi asubuhi. Nilikuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mwenye taarifa kuhusu mgodi wa kuchimba uranium hapo bahi dodoma atujuze,nimesikia ungeanza mwezi wa nane,umesitishwa kwa sekeseke la jairo,mpaka mwakani,na wanaofisi yao maeneo ya airpot dodoma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati wananchi wote ulimwenguni masikio yao yote wametega huko libya dhidi ya waasi wanao msumbua ghadaphi bila kosa, je mahamuzi aliyo fanya Rais wa zimbambwe Robart mugabe kumtimua balozi wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Balungwana Kwema? Huku kwetu Wilaya mpya ya Mbagala Tanesco wamechukua umeme wao tangu saa 10 jioni, baada ya kutuzuga na umeme wa sikukuu ya Idd. Je hapo ulipo bado umeme upo? Tujuzane ili...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
IGP.Mwema Nyumba 19 zimechomwa moto na mtu mmoja ameuwawa kwa kuchomwa moto kufuatia tafrani kubwa kulipuka kwenye kijiji cha Ulumi tarafa ya Mwimbi wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa wakati...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mh Mbunge wa ubungo ongera kwa mkala wako wa Dawasco hatimae maji yametoka leo.Kumbe watu wanaogopa maandamano bila mkwala wako maji tuliyasikia mala 4 ya mgao wa umeme
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kijana Emanuel Didas Marshai (24), ambaye madaktari walikosea na kumfanyia upasuaji wa kichwa badala ya mguu wa kulia, anakamilisha mchakato wa kuishataki Serikali na kuidai fidia ya Sh800...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Uvamizi wa mataifa ya Ulaya na Marekan unaoendelea dhidi ya Mtaifa huru ya Africa. Walipokuja na ajenda ya kutufundisha “utu”. Wakaja na divai ya ‘ustaarabu’ ndani ya kiriba cha utumwa/ukoloni. Na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Alikuwa akitokea msoga kula sikukuu ambapo dereva tax mmoja aliingilia msafara, kilichosaidia ni utulivu wa dereva tax huyo kutulia upande wa kulia kwake na gari zilipita salama, Dereva tax huyo...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Jamani nimesikiliza kipindi cha jahazi leo kibonde akijadili kifo cha mwandishi mmoja wa habari huko mwanza aliyeuawa kikatili mr Masatu. Kilichonishangaza ni ushauri alioutoa kwa watanzania...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nianze kwenda kwa nani? Leo nimepata simu, Huko kwangu ofisini, Zote tena taslimu, Zimefika mikononi, Na zote hizo muhimu, Nimezisoma yakini, Nianze kwenda kwa nani, washairi nambieni. 2. Simu...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Suala la nani mmiliki wa kampuni la kagoda sasa limewekwa wazi,baada ya mwanaharakati mmoja kuweka wazi kuwa rostam aziz na yusufu manji pamoja na binamu zake r.a.sasa ni wakati wa serikali...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama umesoma gazeti la Rai la Juzi tarehe 1/08/2011, ukabahatika kusoma Makala inayohusu Eneo la Ramsar la bonde la kilombero utaona ni jinsi gani watanzania wanaweza kujali masuala Rahisi kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Namkumbuka 'Uncle Tom' alishirikiana kina McGhee, na wanajeshi kadhaa kutaka kumpindua Nyerere enzi hizo. Kama kuna walioshiriki na wako hai, basi watujuze kash-kash zilivyokuwa.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam, Natumaini wana jamii ni wazima wa afya,kwangu mimi ni mzima na buheri wa afya. Eti huo usemi hapo juu ni wakweli? Kama nikweli inamana wanawateja wengi kuliko kampuni za simu zote hapa...
0 Reactions
16 Replies
10K Views
yule mkulu wa BOT wa sh bil 21 amekamatwa gerezani akiwa na simu nokia ya tochi akiwasiliana na kigogo kuomba amfanyie mpango wa kutoka gerezani na hivyo kafikishwa jana kituo cha polisi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kweli fedha fedheha, Katika hali ya kusikitisha na kuogofya, uhai wa mtanzania unachezewa kwa pesa za kifisadi za DG wa PPF Bwana Erio William Mkapa. Ijumaa ya tarehe 26 August, gari la PPF...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom