Katika vichwa vya habari ktk magazeti ya leo kulikuwa na taarifa za kondoo wa quran kule Hai Moshi kufanyiwa dua. Tunaomba walio na taarifa watujuze yaliyotokea huko.
Kwenye baraza la idi kwa mara ya kwanza Rais Jk ameongea kama kiongozi ndani msikiti wa gadafi ila kuna neno takbir huwa linatamkwa msikitini sijasikia ,au hotuba ilikuwa kinyume na matarajio!then...
Baadhi ya mawaziri wa kiume katika serikali ya Raisi Robert Mugabe wa Zimbabwe wanatarajiwa kutahiriwa hivi karibuni. Huo ni mkakati waserikali ya Raisi Mugabe kwa kushirikiana na taasisi moja...
Leo usiku katika kipindi cha "Usiku wa habari" kupitia televisheni TBC walikuwa wameandaa habari inayohusu ujenzi wa shule za sekondari huko Kinondoni(Kimara) Dar es Salaam.
Nilitamani kuanza...
Watanzania kama tuliweza kula majani kipindi cha waziri Bazil Mramba tukanunua jet ya Mbayuwayu
ambayo inaruka toka Dar na kutua Kampala wakati destination ni KIA, inakwenda xafari ambazo...
NANI ALEYATOA AMRI YA KUWAVUNJIA MAKAZI NA KUWAHARIBIA MAZAO
WANAKIJIJI KIMBIJI ??
SOURCE: http://fundirkombo.blogspot.com/
Wanakijiji wa kimbiji bado wamebaki na mshangao ! hakuna afisa...
WATALII kutoka Ufaransa waliopanda Mlima Kilimanjaro, wameibuka na kioja cha mwaka jana baada ya kuonyesha picha ya mbwa wanayedai yuko juu ya mlima huo.
Kama tukio hilo litakuwa la kweli, basi...
Leo kwa macho yangu nimeshuhudia traffic akisimamisha gari la mbele yetu ghafla kiasi kama si gari yetu kutokuwa na brake nzuri basi jamaa tungemvaa
Mbaya zaidi uyu traffic amekaa kwenye kona na...
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni wa kipekee sana na inasemakana huu muundo haupo sehemu nyingine duniani, lakini hivi majuzi wakati nasikiliza BBC nakasikia mtu akisema muungano wa England na...
BASI la Champion lililokuwa likitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam, limepata ajali mbaya jana na kusababisha vifo vya watu wanane papo hapo, abiria wengine 53 wamejeruhiwa vibaya, 21 kati ya hao...
Kuna taarifa kuwa serikali ya Zimbabwe imemfukuza balozi wa Libya nchini humo kutokana na kitendo cha balozi huyo kuamua kupandisha bendera ya waasi. Kitendo cha balozi huyo kupandisha bendera ya...
KOMPYUTA 21 zilizotolewa na mfadhili katika Shule ya Sekondari Buyango Wilaya ya Missenyi , mkoani Kagera zimegeuka mzigo baada ya kushindwa kuzitumia kutokana na kukosekana kwa umeme.
Diwani wa...
Nimesikia kwa miaka mingi sasa maraisi wetu wakitoa msaada na salamu za mchele, mbuzi na mafuta ya kupikia kwa wenzetu wanaoishi kwenye mazingira magumu.
Jamani, hivi nyama ya mbuzi na wali mbona...
396 wafa Dar kwa ajali za pikipiki
na Zawadi Chogogwe
Source: Tan Daima
WATU 396 wameripotiwa kufa katika ajali 2,856 zilizohusisha pikipiki 3,659 zilizotokea katika kipindi cha miezi sita...
Website ya Foreign haina TRAVEL ADVICE or UPDATE on JAPAN sasa kama tunataka kwenda au tukitaka kujua usalama wa ndugu zetu waliokwama kule itakuwaje??
Its easy to say kuwa tucheki na...
Alisema Wamarekani hawatuwezi na tutawachinja sana mwaka huu, huku wamarekani wakipiga mabomu nyuma yake, sasa mtu akisema waasi wa Libya hawajauteka mji mkuu, naikumbukia Iraq 2003.
ndugu wana jf mimi nimesoma elimu ya kibongo na ya kingereza nimeona tofauti kubwa sana kwenye kumjenga mwanafunzi.nyie wakuu muna onaje tubadilushe mfumo au?
Jamani hawa bakwata mbona hawatangazi mwezi? Mwezi umeonekana mtwara na baadhi ya maeneo ya kusini.....nashindwa kuwaelewa hawa watu nao wameshikwa na magamba tatizo....pumbafu sana hawa
Wapendwa
nilipita mida ya saa nne leo mwenge nikakuta gari mbili zimeingia kwenye stand ya basi zimepaki nikiwa nasubiria
kununua gazeti la daily news kaka yangu mmoja dama akasema pole kaka leo...
Ni hawa; Fungua jamii Forum saa 6, usiku, utawaona bado wapo wakijadili au kusoma
Masuala Muhimu ya nchi hii wengine mpaka asubuhi wataendelea kuwepo,
Bila shaka wanachelea mgao wa umeme hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.