seriusly...this issue ni ya kutafakari saaaannaaa....je uamuzi wa uongozi wa chuo cha MT. AUGUSTINO Mwanza wa kuwapiga marufuku wadada kuvaa suruali ni sahihi?nahisi wangekataza watu kuvaa...
Swala ya Idd Kitaifa inatarajiwa kufanyika Msikiti wa Gaddafi Dodoma huku JK akiwa mgeni rasmi. Hii inafanyika wakati kiongozi huyo wa Libya akiendelea kusakwa na majeshi ya waasi wa Libya.
Mkuu heshima
kuna mada zaarsenal umezijaza kila sehemu sasa asbh tunaangalia mambo muhimu kila kona tunaona arsenal mada ilele ile
embu angalia kidogo jinsi ya kurekebisha hizo thread mkuu...
Mwandishi wa habari anayealindikia gazeti la Mwananchi kutokea Arusha, Mussa Juma, ameanza kuandamwa na Serikali na sasa uraia wake umeanza kuhojiwa huku yeye akihusisha hatua hizo na msimamo...
Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye baraza la Idd litakalofanyika kesho kwenye msikiti wa Gaddafi Dodoma. Sherehe zinafanyika wakati kiongozi huyo wa Libya anaendelea kusakwa...
By Sheik Yermami
Two FGM Updates from MEMRITV. Egyptian Villagers Explain Why They Circumcise Their Daughters:
Following are excerpts from a television program about female circumcision in...
Hivi katika zama hizi za utandawazi kuna mtu anaweza kusema kazi fulani ni kwaajili ya wanawake tu na nyingine ni kwaajili ya wanaume tu.
Binafsi, sioni tofauti ya kazi zinazofanya na wanaume na...
Nikiwa miongoni mwa watu waliopatwa na mkasa
wa kukatwa fedha na Airtel naona si busara kukaa
bila kutoa feedback hapa jamvini kuwa hatimaye fedha
hiyo imerudi kwenye Account yangu! Ahsante kwa...
Wenyeji wavamia shamba la Aga Khan University aka A.K.U (zamani Manyara Estate, Kisongo) na kuwasha moto MKUBWAA. Wakazi wa jirani wanadai kuwa uvamizi huo ni kwasababu ya kunyimwa eneo la...
SOMA UJUMBE HUU NA UNIPE USHAURI, NIMEUPATA KWENYE BARUA PEPE YANGU. JE NI UKWELI AU UTAPELI?
Hello Dear
Thank you for your timely response. I hope you and your family are feeling very good...
Huku tz ikiwa ktk dimbwa la ufisadi wa kutisha mpaka kuua shirika takatifu la ndege, Rwanda sasa wamefanikiwa kushusha ndege mpya kabisa na kuanza harakati za kupanua safari zake mpya za ndege za...
Wanajamvi,
Nanyaro ambaye ni Mwenyekiti wa Bavicha mkoa wa Arusha,na mwenyekiti wa wilaya,pia ni diwani wa Levolosi,amehojiwa kwa saa kadhaa,kwa tuhuma za kuhusika na njama za kutaka kumwua meya...
Kuna tetesi kuwa kuna sintofahamu kati ya spika Anne Makinda na naibu wake Job Ndugai kuhusiana na naibu spika kuruhusu wabunge kujadili sakata la katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini David...
Aaahaaaa hawa bwana sijui walitolewa chooni kuja kuchaguliwa
ameulizwa kuhusu ubalozi wa libya kuweka bendera ya waasi je tunaitambua serikali ya waasi
akadai hilo alinisumbui wakiweka ainisumbui...
Kulingana na Mapenzi ya WanaBiharamulo, wanazipenda sana sera za CHADEMA hasa ukizingatia ni mambo mangapi ambayo CHADEMA wameyamulika na hivyo kuleta msisimko kwa wananchi na kuwaamsha akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.