EWURA kupitia msemaji wake leo katika radio moja wamejigamba kuwa wamewakamata wauza mafuta wengi sana wanaochakachua mafuta:
Kama hii ni Kweli? Mmewahi kusikia wakiwataja wamiliki hao na...
Jana waziri mkuu ametumia nguvu nyingi na muda mwingi sana kutetea mpango wake wa kuibinafsisha ardhi ya Rukwa na Kigoma,kwa kigezo cha kusema kuwa anataka kuiendeleza KIGOMA na RUKWA,Mh.Pinda...
Kuna mambo mengi sana yanaendelea Tanzania na kuna viashirio vingi sana kuonyesha dalili kuna mafisadi wananguvu sana Tanzania.
Kuna mifano mingi sana, kwa mfano Viongozi wa sicm waliokatika F ...
Kwa masikitiko wana jf leo majira ya saa sita kamili mchana basi namba T 264 ATH likitokea kyela kwenda dar lapata ajari maeno ya tanangozi Iringa baada ya tairi ya mbele kupasuka na kuacha njia...
Habari wanajf,
Ndo nimeingia toka kijijini kwa bibi na kule access not richabo, sasa leo naingia jf nakutana na hii stetimend inamentioniwa sana, "Kufikiri kwa masaburi"
Jamani nini maana ya...
Bwana Masaburi aka mzee wa makalio ametoa wito kuwa wale wanaomiliki vizimba pale machinga complex na hawavitumii WAPOKONYWE,masaburi anaendelea na ziara zake za dharura,ameshapita DDC na keo...
Gold Rush: Hunting for gold in Tanzania
LONDON (Commodity Online): Hunt for Gold deposits has heightened around the world as countries led by global central banks and investors fascinated by the...
Geita
kumelipuka, jana saa moja usiku wananchi
wamecoma nyumba sita za mganga wa jadi
anayetuhumiwa kujenga kwenye eneo la
soko.
Diwani wa kata ya Kasamo kakamatwa na
polisi kwa tuhuma za...
Bunge limeelezwa kwamba, ni jambo la kushangaza sana kuona mlima Kilimanjaro umetapakaa vinyesi vya wazungu na wale wapambe wao ( pouters). Akichangia katika hotuma ya Wizara ya MALIASILI na...
Finally! Scammer caught red handed in Kenya.
Kenyan vocal human rights advocate Omar Hassan was playing the role of a whistle blower and would-be-victim rolled into one as he helped KACC...
Wapendwa wana JF, rangi mbili ni jina linatotumika sehemu nyingi hasa vijijini kuita dawa aina ya tetracycline na jamii yake. Lakini rangi mbili nayotaka kuzungumzia hapa si vidonge bali ni...
Jamani umeme umekuwa umeme, Mwanza hatuna umeme siku ya tatu leo, nashangaa sijui tanesco wote wameenda likizo au ni nini? Sasa haya maendeleo si hadi Yesu arudi!
Habari Wana JF,Naomba mnijuze kama kuna tatizo lolote la vinga'muzi vya star Times,Napata channel mbili tu:TBC1 & KBC,Kuna Tatizo lolote la kimfumo wa urushaji matangazo? Aksante.
ADAIWA KUPATA MGAWO WA SH 4 MILIONI KILA MMOJA FEDHA ZILIZOKUSANYWA NA JAIRO
Mwandishi Wetu
TUHUMA zilizosababisha kupelekwa likizo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo...
Kada Makamba alinukuliwa na gazeti la Msema Kweli Toleo Na. 040, hivi: "Makamba atoa zawadi ya nguruwe kwa shule".
Licha ya Mwandishi wa gazeti hilo kushangaa kwa kitendo hicho cha kada huyu...
Jamani hivi wale wa kile chama wana twitter account? Maana huu ni mwaka 2011 na si ajabu CCM bado wapo 1961 wakati wa uhuru. Je, na JK na yeye ana Twitter account?
Nyota wa mchezo wa kikapu nchini Marekani anayechezea timu ya Orlando Magic,Dwight Howard ambaye pia ni mkurugenzi wa taasisi ya D12 Foundation akiwa na mbunge wa jimbo la Monduli mkoani...
Licha ya matatizo yanayojulikana ambayo yataendelea kuwa mwiba katika nyonga ya Tanzania hapo mustakbali, matatizo kama- umaskini, uduni wa elimu,kupanuka kwa tofauti za kitabaka nk, matatizo haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.