Mbona kikwete unajitia aibu jamani...hivi huyu beno amechaguliwa kama mshauri wa e maige waziri wa maliasili
tangu lini jamani..yaani kukaa na vikao vyenu vya pombe mnaamka asbh ama wake zanu...
Watu 51 wamefukuzwa na vibanda vya o kwa oda ya masaburi dk didas..habari zaidi zinasema watu wamekutwa
zaidi ya 51 wakiulizwa wamewekwa na nani wandai wao watu wa bodi...akihojiwa na waandishi wa...
MAITI YA MWANAUME YAOKOTWA MBEZI, DAR
Mwili wa marehemu huyo ukiwa umefunikwa kwa kanga.
Baadhi ya wakazi wa eneo hilo wakiuangalia mwili huo ili kuutambua.Mtu mmoja ambaye jina lake...
Askari polisi wa usalama barabarani huko Mbeya leo asubuhi amempiga na kumjeruhi raia kwa spana baada ya mabishano ambapo askari alimsimamaisha jamaa na kudai leseni. Jamaa alidai hana leseni na...
Wadau niko kwenye hiace nasafiri kutoka kigoma kuelekea kibondo.
Tumejazwa kama dagaa kwenye maboksi, gari imepakia mizigo na linakimbia sijawahi kuona, Kinachonishangaza hapa ni kwamba...
Wakuu nimepita maeneo ya ubungo external hapa kuna sheli ya BP nimeshangaa nikiona wanauza mafuta kwny magari kama kawaida..nikajiuliza kuwa ile adhabu yao ya kutouza mafuta kwa miezi mitatu...
ANYAMBILILE KASOTE [60] ameuawa kwa kuchomwa moto ndani ya nyumba yake kwa kile kilichodaiwa wananchi wamechoshwa na tabia zake za ushirikina.
Kasote aliuawa jana huko wilayani Mbalali mkoani...
DAR ES ES SALAAM, TANZANIA - The Bank of Tanzania (BoT) will allow old bank notes to circulate alongside the new ones that were released in January this year, until June 2012 when they will cease...
Kwa hili la kutopata umeme kwa muda wa miezi 4 nonstop,UMEGUSA PABAYA hivi ni kutudharau walipa kodi au bado mnachukulia kwamba watanzania wote ni wajinga?hivi mnazijua SHIDA tunazopata watu wa...
Wana JF,
Jana Mdau mmoja alinipasha kuwa alikuta na mchezaji maarufu duniani wa mpira wa kikabu a.k.a NBA BASKETBALL DWIGHT HOWARD (Orlando Magic) Arusha AirPort. Akiwa ametokea Monduli kwenda...
kuana sababu ya kupiga kura of no confidence kwa serikal sasa,sababu tunazo za kutosha: Giza nene,ufisadi wa kutisha, inasemekana tunaongoza barani Africa ,wanyama pori kuporwa,arth nzuri kugawana...
wakuu mimi sio mwanasiasa na kamwe sipendi kuwa mwanasiasa,
lakini kuna kitu kinanishangaza kuhusu wabunge wetu kuvaa kaunda suti na kuacha vifua wazi,jamani sioni kama ni jambo la busara kuvaa...
Maisha yamekuwa magumu.
Bei ya mafuta imepanda
Gesi bei ipo juu
Maji ya mgao
Umeme ndio usiseme, kila kitu kimepanda bei kwa ajili ya uzalishaji kuwa mdogo.
Nikisema ninunue jenereta bado...
Ni jambo la kawaida kwa askari jeshi kupewa kazi zingine kama u-DC,RC,balozi na nafasi nyinginezo mara wanapostaafu.Ni kwa nini askari polisi huwa hawapewi nafasi hizi?Huwa najiuliza sana.
Jamani nini mtego wa nyani wezi
Kila nikipanda mihogo shambani kwangu wanachimba yote hata kabla haijakomaa
Na wananiotea inapoanza kukomaa tu hao wanavuna bila huruma
Taarifa kutoka kwa waumin wa kkt igunga zinasema mtu 1 aliyetangaza nia ya kugombea ubunge kwa tiketi ya ccm, akiwa na kitambaa cha kijani shingon amekaribishwa na viongozi wa kanisa madhabauni na...
Ni miaka 50 sasa tangu tupate uhuru wa bendera ila tulidhani tumeponyoka kwa wakoloni ila tukaingia kwenye makucha ya ccm. Ingawa kwa sasa watu wameamka wanaanza kudai haki zao bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.