Kwa wale wadau wa soka hasa wale wapenzi wa soka la Bongo, kwa wiki nzima habari iliyokuwa imevuta hisia ya watu wengi ni habari inayohusu pambano la Simba na Yanga ambalo lilikuwa linatarajiwa...
Kajamaaa haka bwana, kameweza kumteka raisi na kumtumia kama ngao na silaha yake kwenye kulikamata soko la muziki na burudani.
Je ni nani atakaye mvisha paka kengele ili soko liwe huru, la haki na...
Nimehuzunika sana kuona wasanii wa bongo fleva wakiimba wimbo huo ambao hauna maana kwa MTANZANIA WA HALI YA CHINI.JE wasanii wetu wametumia akili kusifia miaka 50 ya uhuru kwa kusema eti tuna...
Diwani wa CDM na wanachama wengine 9 wanashikiliwa na Polisi kwa Kuchoma nyumba ambayo walidai ipo kwenye kiwanja kwa ajiri ya kutengeneza stendi ya Mabasi! Wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa...
Kwa wengine wanaweza wasiamini lakini ukweli ndo huu.
Serikali inapanga majengo ya watu kuendesha shughuli za mahakama.
Haingii akilini kama kweli serikali imechoka mpaka wanashindwa hata kujenga...
wandugu wa jf mambo vipi!,nashauri Dr Slaa atembelee vyombo vyote vya habafi si unajua Nape kapita kote huko kamwaka ugali sasa na Dr apite huko akamwage mboga,mpaka tuheshimiane!
Wadau kituo cha tv ya magamba kimerusha taarifa saa mbili
usiku kuhusu maandamano ya kihistoria nchini India yaliyo
sababishwa na kukamatwa kwa mwanaharakati anayeheshimika
nchini humo...
Nilichosikia mtu hautaruhusiwa kupiga kura kwa uchaguzi wa 2015 mpaka uwe na kitambulisho cha uraia (ID)!
Kwahili inanikumbusha jinsi watu walivyoshindwa kupiga kura kuanzia 2000's...
Wakazi wote wa dar es salaam
na vitongoji vyake mnakalibishwa
kwenye uzinduzi wa miaka 50 ya uhuru mnazi mmoja Leo
Tumejaribu, tumeweza tunagonga
Mungu Ibariki TAnzania
Mungu mbaliki Rais wetu...
Alikuwa Milionea, Hivi Sasa Anakusanya Taka
Mamilioni yote yameisha Callie anafanya kazi ya kukusanya taka
Akiwa na miaka 16 alishinda bahati nasibu (Kamari) na kuwa milionea kijana lakini baada...
Wakuu heshima kwenu.
Nimelazimika kuja na hoja ya kuitaka serikali ichukue hatua za kukusudia kuwasaidia wafanyakazi wanaotoka maofisini jioni ili wafike majumbani kwa kwa wakati. Hebu fikiria...
Wakuu nimesikia ving'ora vya moto (fire alarm). Naangalia kwa nje naona walinzi ultimate security wako alert. Punde gari ya zimamoto na ambulance vinaingia kulikoni?
Mwanaume mmoja nchini Uingereza ametumia jumla ya dola 10,000 kufanya operesheni za kumfanya aonekane kama shetani kwa kujipandikiza mapembe kama ng'ombe, kuugawanya ulimi wake vipande viwili uwe...
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?
Kama kaweza kuia ile klabu...
Tanzania invites gold processors
MONDAY, 15 AUGUST 2011 14:13 JOHN MBALAMWEZI
DAR ES SALAAM - Tanzania is calling for international and local firms to venture into modernization of artisan...
Ndugu zangu Watanzania huu sio wakati wa kulala in wakati wa kuamka na kuikomboa nchi yetu. Nchi inaliwa na wajanja na sisi tunaangalia tunatakiwa tuchukue actions. Hii sio nchi ya kuitwa maskini...
Taarifa nilizopata toka kwa informer aliyeko mgodini zinasema kuwa kesho wafanyakazi wa underground kugoma iwapo general meneja hatawasikiliza madai yao. wiki iliyopita kulikuwa na kikao kati ya...
Mkurugenzi wa movenpick hotel dar es salaam aliwanyanyasa wateja wake,
imetokea jumapili katika ukumbi wa makuti ambapo kulikuwa na tamasaha la uimbaji liliokusanya waimbaji wa injili maarufu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.