Inasikitisha, inakera, inaudhi na inaboa kweli kweli pale unapoona kwamba tangu mwezi wa pili hadi leo watanzania wenzetu walioathirika kwa mabomu huko gongo la mboto bado wanakaa kwenye mahema...
Hali sio ya kawaida tena kwa wageni wa kisilamu katika nchi za wazungu ,swali langu najiuliza hivi jee ukiwa mkiristo mweusi utasalimika na misukosuko inayokuta waisilamu katika nchi za wazungu...
Unapo zungumzia nchi zilizokua mstari wa mbele kutaka uhuru wa nchi za kiafrika,hautakosea ukitaja TANZANIA.
Katika nchi za kusini,mashariki na kati mwa AFRIKA,Ilipasa nchi kama tanzania iwe...
Mheshimiwa Rostam Aziz tunakuomba uiangalie kampuni yako ya New Habari,hali sio nzuri,hatulipwi mishahara yetu huu ni mwezi wa tatu hatujalipwa mishahara yetu na suala lingine ni pesa zetu za PPF...
Kwa nn wanigeria
ni agreesive , opportunist wakipata chance ndogo tu wanatafanya chochote kile waweaze kutoka
Watch this video
How people make living from damp sites
Kwa full episdoe...
makamu wa kwanza wa rais seif sharif hamad ametembelea chuo kikuu cha Dodoma kumsifu Rais jakaya kikwete kwa uamuzi wa kujenga chuo kikubwa na cha kisasa chuo hicho ni ukombozi wa Elimu ya...
Binafsi ni shabiki mkubwa wa michezo hususani mpira wa miguu. Ninasikitishwa sana na hawa ndugu zetu wa Clouds tv kupiti kipindi chao cha Sport Bar kinachorushwa kila J3 saa 4 usiku. Mara nyingi...
Wana jf, naomba tuorodheshe nukuu mbali mbali kutoka kwa hotuba na mazungumzo ya rais wetu JK, nukuu hizi zitzsaidia kurejea siku zijazo, naanza na hizi chache: unaweza endeleza au kunikosoa pale...
Naamini kabisa toka moyoni mwangu kuwa Ngeleja na Jairo wangekuwa ni wa China hata matanga tungeshasahau siku nyingi!
hili naamini kwa aina ya jeuri yao, yani huku wakijua kabisa kuwa umeme...
Katika kile kinachoonekana kujenga mazingira ya kukubalika kirahisi bajeti ya wizara ya nishati na madini.
TANESCO wameamua kutoa umeme full time kwa baadhi ya maeneo ambayo awali yalikuwa yana...
Gari yangu ni aina ya cresta....cha kushangaza haijawahi kuzimika licha ya kuwa nimeendesha baada ya taa ya mafuta kuwaka naweza kutoka posta mpaka mwenge na kurudi posta na bado gari haizimiki...
Binti mwenye umri wa miaka 11 amegundua dawa yakutibu magonjwa sugu, kama ukimwi na mengineyo, dawa inafahamika kwa jina la MKONG'OTO. Inaelezwa kuwa watuwengi kutoka msumbi, malawi wana kwenda...
Wadau naomba kujuzwa kuhusu nauli ya ndege toka Arusha to Dar es salaam. Kwa wale waliowahi kusikia au kusafr kwa ndege naomba msaada wenu. Nataka kuja dar kesho kuna ndugu yangu kafariki ghafla.
Madaktari nchi nchini Uingereza wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kumwekea binadamu moyo wa plasitiki unaondeshwa na nguvu ya betri.
Matthew Green (40), amewekewa moyo huo wa plasitiki katika...
Maneno ya JK kwamba viongozi wa dini wanauza unga, yana uzito mkubwa sana kwa jamii. Sasa hivi inabidi tukemee vikali vitendo vya hawa viongozi wa dini wanaouza unga. Tunaomba tamko kamili kutoka...
Uchunguzi unaonyesha idadi ya wanaojiita wanaoumwa vidonda vya tumbo imeongezeka maradufu tangu wiki hii ianze kitu kinachotishia uhai wa tz!<br />
Kila unaekutana nae anakuambia kuwa hajafunga...
Yan wameonyesha jinsi muislamu anavyoshawishika kupiga misosi kipindi hiki cha mfungo!
Ustadhi maarufu alikuwa ni joti na wakristo ni mpoki na vengu!!
Ahaaaa jamani hii nayo ni udini kabisaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.