Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Askofu RC atishiwa bastola madhabahuni Send to a friend Monday, 10 January 2011...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
MWANAFUNZI wa Shule ya sekondari Ntare, wilayani Karagwe, Swabilath Hussein (17),amesafiri hadi mjini Bukoba na kuanza kuzunguka katika mitaa mbalimbali akidai anatafuta fedha ya kukidhi mahitaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huyu anafaa kupewa heshima ya kuanzisha ishara hii ya victory,,kwa CDM.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Maombolezo ya misiba kwa waliouawa na polisi kwenye maandamano maana tunaona kimya!plz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The Seven Traits of Skillful Leadership This article emphasizes the importance of refining your leadership traits along...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hawa jamaa wanaendesha wizi wa waziwazi tena kibaya zaidi wana exploit vijana wanaotafuta kazi.Yaani baada ya kuapply kazi kwao walizotangaza kwenye magazeti wanakuita kwenye interview lakini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
SERIKALI imepiga marufuku wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kudaiwa michango au kurudishwa nyumbani kwa kukosa michango na kuagiza kazi hizo zifanywe na Bodi na kamati za shule. Naibu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
moved https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/101754-askofu-rc-atishiwa-bastola-madhabahuni.html
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KATIBU wa CCM Mkoa wa Arusha, Mary Chatanda, amesema anaheshimu maoni ya aliyekuwa Makamu Mwenyeki wa CCM, John Malecela, lakini anaamini alichokisema kuhusu maaskofu kuvua majoho kama wanataka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nawasalimia sana bandugu wote wa JF. Napenda kuwajulisha kwamba leo ni birth day yangu, nikitimiza miaka 48. Namshukuru Mungu kwa yote, iwe kwa mafanikio au kwa kutofanikiwa kwani yeye ndiye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WASHKAJI EEEHEEE MI NATAKA NIWAFINYE SIKIO, UNAJUA MADHARA YA KUTUMIA MADAWA ILI KUENGEZA NGUVU ZA KIUME? 1. KAMA UKIITUMIA DAWA HALAF UKACHELEWA KUTUMIA AU MUDA UKAFIKA HALAF DEMU WAKO...
0 Reactions
18 Replies
18K Views
Transport deputy minister Athuman Mfutakamba takes a rare ride in a commuter bus plying the Kariakoo-Mwenge route in Dar es Salaam at the weekend. He said he was following up reports of...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
INAWEZEKANA likawa moja ya matukio mabaya ya kufungua mwaka 2011 mkoani Kilimanjaro, baada ya watu wasiojulikana kumuua mwanamke na kuondoka na viungo mbalimbali vya mwili wake kikiwamo kichwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nadharia 30 kuhusu ufisadi Mwandishi wetu NADHARIA hii imeandikwa baada ya kutafakari matukio mbalimbali duniani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Transport Minister Omar Nundu Transport Minister Omar Nundu has cited unnecessary bureaucracy by Port Improvement Committee officials as the stumbling block to the development of Tanga port...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KAMPUNI ya Reli (TRL) imetangaza kusimamisha huduma ya reli ya kati kuanzia leo kutokana na kuharibika kwa daraja lililoko kati ya stesheni za Bahi na Kintinku mkoani Dodoma. Daraja hilo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
IBADA ya marehemu wawili waliouawa na polisi katika vurugu za maandamano ya Chadema inatarajiwa kufanyika katika uwanja wa NMC leo, baada ya Polisi kuridhia shughuli hiyo ya mazishi kufanyika...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MBUNGE wa Nyamagana, Ezekia Wenje (Chadema), ameangua kilio mbele ya wapiga kura wake baada ya kuelezea changamoto anazopelekewa na wapiga kura hao ofisini kwake. Wenje, ambaye alikuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kulikoni Makongo Juu, mbona barabara ni mbaya na hapo Changanyikeni wametengenezewa vizuri na sisi tumeachwa? Pili kuhusu maji: Mabomba ya wachina yapo hadi mlangoni wenzetu wa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
"waweza jiuliza ni nani huyu mgomo? Kila sehemu kaamua kumwagika yeye je ni kidudu mtu ??je ni nani mwenye matatizo kati ya serikali na huyu mgumu? Vyuo vingi sasa vimeamka na kujua kumbe haki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom