20th May 2010
Yalifunga mitaa usiku saa mbili
Yakapora duka moja moja
Yakaua raia wawili kwa risasi
Vilio, simanzi na majonzi, vilitawala jana katika eneo la Vingunguti Faru...
Je Matumizi ya Serikali +Wizara na Mikoa ni Siri ya Serikali?
ninawazo la kukusanya taarifa za matumizi ya wizara,na ofice za mikoa na halmashauri,
Idada ya magari,gharama za spare na services...
HALMASHAURI ya Wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, inatarajia kukusanya zaidi ya Sh22 bilioni kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali vya mapato, katika mwaka ujao wa fedha.
Fedha hizo ndizo...
London, England (CNN) -- Men lie the most and feel less guilty about it -- but women are the better liars, a British survey has found.
The most common fib for men is denying that they've had...
Kama unatokea kuwa against na mafisadi na rais wa nchi anatumika vilivyo kukumaliza ukiwa wewe mwananchi wa karibia unafundishwa nini kwa hili???nimeanza kumwogopa kama ukoma..
huyu rais...
Ilikuwa majira ya saa nne na nusu usiku wa jana,Polisi wa kituo cha Oysterbay walipotumia risasi za moto kuumua kijana Octavian fundi magari eneo la Victoria karibu na...
Good morning, Ladies and Gentlemen. This is your captain FUTAKAMBA. On behalf of Air Tanzania Ltd, I'm welcoming both seated and standing passengers on board of Air Tanzania Boeing 737.
We...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi.
Watumiaji wengi wa nishati na maji hawajui sheria, hali inayowafanya kushindwa kupata haki zao wanapopatwa na...
Poor English denies many jobs, promotion - director
By Rosemary Mirondo
11th May 2010
Many Tanzanians are not offered senior positions in their professions despite...
Nimeona tangazo, la NBC, lakini mwanzo wake wanasema "Benki inayokuwezesha kufanya biashashara zako kwa mujibu wa dini yako".
Mimi nimeshindwa kupata muunganiko wa maneno hayo na pia picha...
Ninavyofahamu teknolojia inaboreshwa ili kurahisisha, kufanisisha na kuharakisha mawasiliano kwa namna 1 au zaidi. Na ni hulka ya mwanadamu kupenda kitu kipya hususan pale anapoona kitamletea tiaj...
(CNN) - A 5-year-old girl in Georgia is being asked a series of questions in her school library. The girl, who is white, is looking at pictures of five cartoons of girls, all identical except...
IMEDAIWA kuwa wanawake wengi wanaofanya biashara ya kuuza miili yao katika maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam ni wake za watu na imegundulika kuwa wanaagizwa na waume zao wakafanye biashara...
Wana JFs kuna jambo ambalo mi ninaliona ni janga la kitaifa japo halitiliwi mkazo wa kutosha, kwa waliopitia vyuo mbalimbali hasa vyuo vikuu tatizo hili ni kubwa sana.
Mfumo wa ajira Tanzania...
Nimefuatilia maswali ambayo yanaulizwa na ITV kwa kile kinachoitwa "Kipima Joto". Maswali haya ambayo yana lengo la kupoll kujua watu wana misimamo gani juu ya masuala mbalimbali ya kisiasa na...
Wana JF
Najiuliza sana sipati majibu hivi ni uchumi unakuwa au unadorolaa??
Leo USD ni 1480 as exchange rate, na utakuta kila bidhaaa ununuapo hata kama wao waliinunua three month ago ambako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.