A few years ago i attended a job interview and out of the initial 24 applicants five of us remained,human resources could not make up their mind on who to hire so we were sent to the Dutch CEO who...
Mapacha wa nchini India, Ganga na Jamuna Mondal wenye umri wa miaka 39 maarufu duniani kama "Spider Sisters" wameungana katika namna ambayo ni nadra sana kutokea duniani kwani wameungana kuanzia...
RAISI APUNGUZIWE MADARAKA VIONGOZI WATHIBITISHWE NA BUNGE
Samahani , Kuna jambo moja limetokea kunichanganya kidogo kwa kipindi hichi cha wiki 2 zilizopita kuhusu uongozi wetu na matendo...
mara nyingi najiuliza hili swali wakati wa kampeni huwa kunakuwa na kaulimbiu inayosema"kupiga kura ni haki yako" mi inanikanganya sana hii, kama kupiga ni haki yangu ya kimsingi ya kidemokrasia...
WIKI iliyopita mwanasafu mwenzangu wa gazeti hili, Lula wa Ndali Mwananzela, alinikuna alipoandika kwa uchungu kuhusu gharama tunazolipa kwa kuukubali ufisadi kuwa rafiki yetu wa kweli badala ya...
wafanyakazi 80 kati ya 320 wanatarajia kupunguzwa kazi ATCL imefahamika. Sasa kazi kwenu wafanyakazi na pia napenda kutumia nafasi hii kuwapa pole wale wote watakaoguswa na zoezi hili, ila msikate...
Throughout human history, one eternal truth has emerged: where there are hordes of people, there will be scams. Rarely has this been so evident than on the Internet, which offers special...
Wakulu,
Ni takribani juma zima sasa nimekuwa nikihitajikupata taarifa fulani fulani kutoka tovuti ya chuo chetu kikuu cha Dar es Salaam bila mafanikio yoyote.
Baada ya kujaribu na...
Why are men so insecure???....
Unajua nimefanya this research na nimekuja kugundua kuwa men are so insecure about so many things....
Height----(not being tall enough....kuna wale short chases...
Wakuu heshima mbele
Mwanzoni mwa mwezi septemba nilikuwa na sherehe ya harusi. Kama ilivyo kawaida watoa huduma mbali mbali walijitokeza kuomba kutoa huduma katika sherehe hiyo. Walijitokeza...
Kuna mdau hapa anajihusisha na huu mpango wa AGOA? Yani kusafirisha bidhaa kwenda USA.
Kama yupo naomba anijulishe kwani nahitaji maelezo kiasi niyafanyie kazi
Wabongo wenzangu hebu chekini hii news,
DAR ES SALAAM, 27 October 2009 (PlusNews) - HIV-positive Tanzanians are not taking advantage of the availability of life-prolonging anti-retroviral...
Napenda kuchukua fursa hii kuwapongeza TBC kwa kurusha hewani website yao ila inaonekana bado haijakamilika kwani link zingine hazifanyi kazi kwa mfano ukienda kwenye page hii...
http://www.youtube.com/watch?v=PndJi2Sia2w&feature=player_embedded#
Video: Five-year-old Romanian weightlifter becomes Internet star
By Chris Chase
Giuliano Stroe has six-pack abs before...
Wakuu Heshima mbele,
I'm in a planning stage kwenye kupanga safari kutoka point A kwenda B, where A and B are variables XYZ points, via usafiri wa anga.
Sasa ishu inakuja ktk kufanya research...
Habari wana JF,
Mimi lengo langu kuu ni kutaka kujua ile ndege ambayo Mr. Ben aliinunua wakati wa mwishomwisho wa utawala wake inafanya kazi au ndo hivyo ipo juu ya mawe? Kuna tetesi kuwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.