Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Si mara ya kwanza kukuta msongamano wa magari makubwa ya abiria na yale ya mizigo yakishindana jinsi ya kupima uzito pale njia panda ya himo hasa nyakati za jioni na wakati mwingine kutokea...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hivi how hard is it kwa Immigration officers kufua nguo zao? Hivi how hard is it kurekebisha zile escalators pale waunja wa ndege? Hivi how hard is it kuweka Aircondion mle dani? Halafu...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
THE National Assembly begins its latest session in Dodoma today with daggers set to be drawn over a number of burning controversial issues, including the Richmond power generation scandal...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu. Leo ninaomba nijumuike nanyi katika jukwaa hili. Ninaomba ufafanuzi juu ya hili suala la mauaji ya walemavu wa ngozi (Albino). Tangu suala hili lilipoanza kutangazwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wajameni sijaelewa huyu mkuu wa afande hapa Dar daily kideoni,mara amekamata vibaka.. ooh wamachinga...,hivi hakuna msemaji wao kwa kanda hii au ndo kale katabia akistaafu mjengoniiiiiii
0 Reactions
6 Replies
2K Views
EATING FRUITS... [IMAGE] It's long but very informative � We all think eating fruits means just buying fruits, cutting it and just popping it into our mouths. It's not as easy as you...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeota ndoto ya ajabu sana, eti viongozi wa sasa/wastaafu kibao na wafanyabiashara wamejazana pale MAELEZO kila mmoja anataka kuongea na waandishi wa habari! Waliopewa nafasi ya awali kuzungumza...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
A Professor at one of the IIM's was explaining marketing concepts to the Students:- 1 You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and say: "I am very rich. Marry me!" - That's Direct...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sina budi kuwashukuru wote waliopiga kura karatu na sehemu nyingine zote ambazo CCM IMESHINDWA KTK SERIKALI ZA MITAA SHUKRANI ZA PEKEE ZIWAENDEE WOTE WALIOSHIRIKI KA TIKA UCHAGUZI PALE KARATU...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu mimi nakelwa sana na msg za promo zinazotumwa na hawa jamaa hasa hawa tigo na zantel, na hata voda na zain nao wanaiga sasa, naona kwao zinalipa sana. sijui wenzangu mnazionaje?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Date::10/26/2009 Magufuli: Hakuna hasara kwa kuhifadhi samaki walionaswa Na Festo Polea WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, John Magufuli amesema kuwa hakuna hasara yoyote badala yake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Date::10/26/2009 Mradi wa Ziwa Victoria wapata hasara ya zaidi ya Sh500milioni Na Zulfa Mfinanga, Shinyanga MRADI mkubwa wa maji ya Ziwa Victoria kwenda miji ya Kahama na Shinyanga umepata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Date::10/26/2009 Serikali za Mitaa: Makamba ashindwa kumzima Dk Slaa Karatu Na Waandishi Wetu MATOKEO ya awali ya uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika juzi nchini kote, yanaonyesha kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jana jioni, barabara ya kwenda Bagamoyo, saa za jioni wakati watu wanarudi majumbani kutoka kwenye mahangaiko ya maisha, ndani ya basi al-maaruf Daladala. Watu wakiwa wamejaa kishenzi kutoka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WAANDAMANA KUDAI 'HAKI' ZAO. Mashoga hao waliokuwa wamevalia nguo za kike huku wakiwa wamejiremba kushinda hata wanawake wenyewe, walionekana wakikatiza mtaani wakiwa wameshikana mikono na...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Are you guyz encouraged to present mind boggling questions about your religion? 1. "O ye who believe! Ask not questions about things which if made plain to you, may cause you trouble. Some people...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pamoja na umaskini tunaopambana nao ila hii ni hatari. Nadhani watanzania tunahitaji kuongeza bidii ktk kazi na kupambana na rushwa. Wahindi wakija bongo wanatudharau lakini soma habari hii ndo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hivi watanzania gani ambao sio wanasisa wala viongozi ambao tunaweza kusema wemeifanyia nchi makubwa...au tunaweza sema Ni watanzania ambao tunawapenda na kuwakubali kwa wanayoyafanya.... Mi...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Kuna hii imani au sijui kama ni ukweli, watu wengi wa kanda ya kaskazini, na baadhi wa sehemu nyinginezo wanasema kwamba mtoto mchanga wa kiume akiangukiwa na kitovu chake maeneo nyeti wakati...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili nalo ni zito, mtu unaamua kuuza mkeo ili ukalipe deni?? Ndo maana kumbe wahindi hawathamini utu wa mtu wao ni pesa tu. Mwanamke India hana thamani na wakiwa wanatembea njiani utakuta mme...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom